Ngamiani: Mtoto atupwa chooni, Mama mtoto alikana kuwa mjamzito

Ngamiani: Mtoto atupwa chooni, Mama mtoto alikana kuwa mjamzito

Aliificha vipi iyo mimba. Mawazo yangu yamestack hapo kwanza!!! Nimeshindwa kabisa kupata picha. Shangazi alishindwa kabisa kuona kama mtoto kabadilika, hata kwenye utendaji kazi, maumbile!!! Duh, kuna mambo
 
Aliificha vipi iyo mimba. Mawazo yangu yamestack hapo kwanza!!! Nimeshindwa kabisa kupata picha. Shangazi alishindwa kabisa kuona kama mtoto kabadilika, hata kwenye utendaji kazi, maumbile!!! Duh, kuna mambo
Labda ndo wale wanashindia mabaibui na vijora..full kujistiri
Halafu mimba ikmnenepesha so shangazi akadhani ananawir tu na ubonge tu
 
Wa leo ni hivyo hivyo Yani kaambiwa akalete mkojo ndo akamaliza kila kitu mgonjwa mwenzie anaenda jisaidia anasikia mtu anajikakamua akajua anakataa gogo akapuzaa lakini akambiwa Leo sio tarehe yake ya kriniki aende nyumbani anapita palepale anasikia suti ya mtoto chooni anaita mwezie amsaidie akakataa kumbe ndo mwenyewe ndo ikabidi akawaite manesi watu wanaangaika kutafuta mwenye mtoto watu Wana Lani kumbe yupo na anawasikia ata alie nae ana Lani pia yeye anawasikia tu na yupo kimya
Vipi afya ya mtoto
 
Back
Top Bottom