Ngao ya Hisani, Uingereza: Arsenal FC na Chelsea FC kujaribu mfumo mpya wa upigaji penati

Ngao ya Hisani, Uingereza: Arsenal FC na Chelsea FC kujaribu mfumo mpya wa upigaji penati

Mimi yote ni bure mi naona sisi kwenye leage yetu tuanzishe least played prayers decide the winner.
Yaani timu zikitoka draw in 90 minites ziongozwe dk 30 kama zamani lakini wale wachezaji waliokuwa benchi waingie kwanza na wajaziwe mapengo na walio toka.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani huo mfumo uko hivi

A- Chelsea *(Penalty ya 1)*
B- Arsenal *(Penalty ya 1)*
B- Arsenal *(Penalty ya 2)*
A- Chelsea *(Penalty ya 2)*
A- Chelsea *(Penalty ya 3)*
B- Arsenal *(Penalty ya 3*
B- Arsenal *(Penalty ya 4)*
A- Chelsea *(Penalty ya 4)*
A- Chelsea *(Penalty ya 5)*
B- Arsenal *(Penalty ya 5)*

Wabongo ukianza kuwaambia cjui yanga A simba B ataanza kusema kwa nn yanga iwe A. Haiwezekani.[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Haaah aaaaah,,mkuu upo sahihi kabisa tena ungeliweka moyoni ungekutana nalo njiani linakuja jinsi lilivyo,,....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani huo mfumo uko hivi

A- Chelsea *(Penalty ya 1)*
B- Arsenal *(Penalty ya 1)*
B- Arsenal *(Penalty ya 2)*
A- Chelsea *(Penalty ya 2)*
A- Chelsea *(Penalty ya 3)*
B- Arsenal *(Penalty ya 3*
B- Arsenal *(Penalty ya 4)*
A- Chelsea *(Penalty ya 4)*
A- Chelsea *(Penalty ya 5)*
B- Arsenal *(Penalty ya 5)*

Wabongo ukianza kuwaambia cjui yanga A simba B ataanza kusema kwa nn yanga iwe A. Haiwezekani.[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
hahahahaahha
 
Huo mfumo utajaribiwa mechi nyngne kesho Kiboga Fc tunamlaza mapemaaaaa
Lacazetteeeeeeeeee.
 
Mbwa hawa wanaharbu
Soccer kila kukicha

FIFA cjui wako wap

[Color= yellow]Triple A[/color]
 
Back
Top Bottom