Haaah aaaaah,,mkuu upo sahihi kabisa tena ungeliweka moyoni ungekutana nalo njiani linakuja jinsi lilivyo,,....Yani huo mfumo uko hivi
A- Chelsea *(Penalty ya 1)*
B- Arsenal *(Penalty ya 1)*
B- Arsenal *(Penalty ya 2)*
A- Chelsea *(Penalty ya 2)*
A- Chelsea *(Penalty ya 3)*
B- Arsenal *(Penalty ya 3*
B- Arsenal *(Penalty ya 4)*
A- Chelsea *(Penalty ya 4)*
A- Chelsea *(Penalty ya 5)*
B- Arsenal *(Penalty ya 5)*
Wabongo ukianza kuwaambia cjui yanga A simba B ataanza kusema kwa nn yanga iwe A. Haiwezekani.[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
hahahahaahhaYani huo mfumo uko hivi
A- Chelsea *(Penalty ya 1)*
B- Arsenal *(Penalty ya 1)*
B- Arsenal *(Penalty ya 2)*
A- Chelsea *(Penalty ya 2)*
A- Chelsea *(Penalty ya 3)*
B- Arsenal *(Penalty ya 3*
B- Arsenal *(Penalty ya 4)*
A- Chelsea *(Penalty ya 4)*
A- Chelsea *(Penalty ya 5)*
B- Arsenal *(Penalty ya 5)*
Wabongo ukianza kuwaambia cjui yanga A simba B ataanza kusema kwa nn yanga iwe A. Haiwezekani.[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Huu ndio mkali zaidi.C wangetumia
-A A A A A
-B B B B B
Nadhan unapunguza presha zaidi.....
[emoji41][emoji41][emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani ni hovyo kabisa sasa ndio nini sioni mvuto kabisa kwenye hiliMbwa hawa wanaharbu
Soccer kila kukicha
FIFA cjui wako wap
[Color= yellow]Triple A[/color]