CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Sasa ndiyo mumtupie majini?It was win to win situation,kila mmoja amefaidika , pengine Mayele Zaidi maana thamani aliyoipata Yanga ndio iliyompa Dili la pyramids,ndio iliyomfanya ajumuishwe national team.
Mengine Ni after school.
Kwa hivyo usiwe mtu mwenye jicho moja
Kamzidi urefuAngalia mfano ulivyo wewe umeweka avatar ya mwanaume mwenzio hivi utasema una akili timamu?tuje kwenye point umemzidi nini ngasa katika maisha?
Ni sress tu hakuna kingineEdit fasta kabla wamba hawajakurukia
Huyu Ngasa tulimtumia Majini ya kumfa ya asiwe na akili akawa anatapanya pesa zake. Sasa hivi choka tu mbaya. Hana lolote.Kuna kipindi nilihamia team nyingine kutoka yanga nikakuta kule mashabiki wachache nishazoea shangwe kufunga kukawa shida nikasema ndio nimeisha au Ikn sikuwaza majini.”
“Kuna wachezaji wakitoka Simba, Yanga, Azam kufunga ni ngumu wanaenda team Mashabiki wapo 30 mpinzani…..
haogopi chochote, uwezo wako ndio watakiwa uwaonyeshe. Sasa umeondoka ktk team umeuzwa watu wamepiga pesa wamefurahi unakuja umetupiwa jini.”
“Basi Fei Toto angekuwa chizi majini ya kusafiri na majini ya hapa hapa yanamuona. Hahaha team ni kubwa kuliko mtu yoyote hii ni story fupi wachezaji. Kuna maisha baada ya soccer tuishi vizuri na shule tulizo pita kesho tutasomesha watt wetu kwa Ada ndogo. - Ngassa
View attachment 2902659
Amba ruty na wewe nani maarufu yanga mwenzangu?Waswahili munachekesha mno hivi wewe na Ngassa ni nani 0 hapa duniani? Yeye ni maarufu nchini kuliko wewe
Amba ruty ni naniAmba ruty na wewe nani maarufu yanga mwenzangu?
Rafiki yakoAmba ruty ni nani
Mkumbushe hata majambazi pia maarufuZero nyingine hii hapa. Kwani kuwa maarufu ni kuwa na akili kuliko wengine?
Huyu Ngassa nae hajielewi,Kuna kipindi nilihamia team nyingine kutoka yanga nikakuta kule mashabiki wachache nishazoea shangwe kufunga kukawa shida nikasema ndio nimeisha au Ikn sikuwaza majini.”
“Kuna wachezaji wakitoka Simba, Yanga, Azam kufunga ni ngumu wanaenda team Mashabiki wapo 30 mpinzani…..
haogopi chochote, uwezo wako ndio watakiwa uwaonyeshe. Sasa umeondoka ktk team umeuzwa watu wamepiga pesa wamefurahi unakuja umetupiwa jini.”
“Basi Fei Toto angekuwa chizi majini ya kusafiri na majini ya hapa hapa yanamuona. Hahaha team ni kubwa kuliko mtu yoyote hii ni story fupi wachezaji. Kuna maisha baada ya soccer tuishi vizuri na shule tulizo pita kesho tutasomesha watt wetu kwa Ada ndogo. - Ngassa
View attachment 2902659
Wa ndani yule, anajua kila kitu.Kwani braza mitetemo kajuaje haya ni majini??
Au jangwani wanaish na majini?
KhaaaKwahiyo Kabwili akatupiwa jini shoga [emoji23][emoji23]