Said Stuard Shily
JF-Expert Member
- Jul 18, 2017
- 2,396
- 2,108
Ngassa alitupiwa majini ni Mtanzania wa kwanza kumiliki wake sita akiwa na umri wa miaka 17
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalia mfano ulivyo wewe umeweka avatar ya mwanaume mwenzio hivi utasema una akili timamu?tuje kwenye point umemzidi nini ngasa katika maisha?Zero nyingine hii hapa. Kwani kuwa maarufu ni kuwa na akili kuliko wengine?
Mshamba kweli nilikua namuelewa sana hasa nidhamu yake pindi akiwa Yanga..kumbe jinga tu.
umesema??? kajitia kinga 🤣🤣🤣Akili fupi kama kimo chake. Kwa hiyo alitegemea Fei angetulia tu bila kujitia kinga.
Watu wa simba acheni zenu 😂😂😂😂😂 we fala umenichekesha 😂😂😂😂 daaah acheni uswahili bwana Fei kajibugisha mwenyeweAnamuona FEI Yuko Sawa?. Confidence Hana akishangilia wanamjia juu. Hajatupiwa jini Tu Bali vibwengo kabisa.
🤣🤣🤣uminichikesha uku tofali rikiwa kichwan kindogo riniangukie rivunje vidore vanguFei alilishwa chakula cha kijini cha ugali na sukari... 😂 😂 😂 🐸 🐸 🐸 🐸 🐸 🐸
Enderea kutyeka babu njunju..maisa mavupi haya🤣🤣🤣uminichikesha uku tofali rikiwa kichwan kindogo riniangukie rivunje vidore vangu
It was win to win situation,kila mmoja amefaidika , pengine Mayele Zaidi maana thamani aliyoipata Yanga ndio iliyompa Dili la pyramids,ndio iliyomfanya ajumuishwe national team.Lakini kwanini Yanga wanakosa shukrani kwa Mayele? Kuwabeba kote kule leo wanamlipa kwa kumtupia majini?
Kwan Babu njunju wewe ni mdengereko..🤣🤣🤣uminichikesha uku tofali rikiwa kichwan kindogo riniangukie rivunje vidore vangu
hahaha kwann mkuu? mimi mutu ya meru. ninaishi na wazalemu huku daslam tunabeba tofali za bloku na kazi migumu ya kutuua. ccm ndio wanapenda hivi.Kwan Babu njunju wewe ni mdengereko..
We si ni mchungaji, haya, kama kweli anayo, nenda kayakemee yamtoke fasta..!!Lakini kwanini Yanga wanakosa shukrani kwa Mayele? Kuwabeba kote kule leo wanamlipa kwa kumtupia majini?
Kuna mtu mlimwita Mlevi, na mwingine mlimwita hana akili..!!Tatizo la Mashabiki wa majini fc mchezaji ambaye bado wanamhitaji akihama kutafuta changamoto timu nyingine wanajenga mabifu .
Haruna nyionzima jezi yake ilichomwa wakati anahamia simba.
Ibrahim Ajib kurudi timu yake ya utotoni simba ilikuwa bifu hadi alirushiwa majini hadi leo haeleweki eleweki.
Morisson alichokipata yeye mwenyewe anajua wakati anahamia simba . Akaamua kukubali yaishe akarudi
Feitoto kinachoendelea kila shabiki anayefuatilia mpira wa Tz anajua.
Mayele katupiwa majini hilo halipingiki , Ngasa asituchanganye.
Kwa haya maelezo uliyoandika bila shaka una mapepo na hayo mapepo yalitupiwa majini kabla ya kukuingia wwKupitia haya maelezo; nimegundua
Uncle Mrisho Ngasa mmoja ni sawa na:-
mashabiki 10,000 wa mbumbumbu Fc, akina Ahmed Ali 100,000, na pia akina Mayele 1000.
Kwa kweli Uncle ametisha sana kupitia haya maneno yake ya busara.
JINI makata , hujambo?Kupitia haya maelezo; nimegundua
Uncle Mrisho Ngasa mmoja ni sawa na:
Mashabiki 10,000 wa mbumbumbu Fc, akina Ahmed Ali 100,000, na pia akina Mayele 1000.
Kwa kweli Uncle ametisha sana kupitia haya maneno yake ya busara.