Ngassa alikataa dili la bilioni 1.6 El Merreikh

Ngassa alikataa dili la bilioni 1.6 El Merreikh

ukitaka kuamini soka letu la kishenzi tujaribu kujikumbusha jambo kidogo.

msaada kukitaja kikosi cha simba kile akiwepo Mbwana Samatta, then tutaona ni wachezaji wangapi wamesalia iwe pale Simba au wanaendelea kucheza soka.

Ni ujinga akina Ajibu kung'ang'ania Simba na Yanga, hizi timu zinatumia wachezaji kama big g

Hasara Umfika Mwenye Mabezo
 
Mbona niliwahi kusikia sababu kuu ya Ngasa kukataa/kuogopa kwenda El Mereikh ni hofu aliyokua nayo ya kufanya kipimo fulani cha afya ambacho alikua na hofu nacho kutokana na historia ya "alikopitapita"? Kwamba pamoja na uzuri, ubora na unono wa mkataba lakini ilikua lazima apime na afaulu vipimo vya afya
Lakini hiyo ishu ya vipimo sidhani kama ina mashiko sana, nakumbuka Ngasa alienda kucheza Marekani mpira ule ulioneshwa live na Itv kama sikosei, pia Ngasa alienda kufanya majaribio Ulaya? Je huko kote hakukuitajika vipimo? Mi nadhani tatizo kubwa la wachezaji wa bongo hawapo kibiashara wao wanajali mapenzi yao ya timu tu
 
Lakini hiyo ishu ya vipimo sidhani kama ina mashiko sana, nakumbuka Ngasa alienda kucheza Marekani mpira ule ulioneshwa live na Itv kama sikosei, pia Ngasa alienda kufanya majaribio Ulaya? Je huko kote hakukuitajika vipimo? Mi nadhani tatizo kubwa la wachezaji wa bongo hawapo kibiashara wao wanajali mapenzi yao ya timu tu
Ulaya na Marekani wanakufanyia majaribio kwanza ukishafuzu ndio wanakupima afya kabda ya kukupa mkataba. Kwa baadhi ya nchi za Afrika hasa za Waarabu kupima afya ni LAZIMA.

Kuna mchezaji flani mahiri aliuzwa na Simba kwenye Club moja ya Afrika Kaskazini. alipopimwa afya na status yake kujulikana ile club ilimkubali kwa sharti la ku review terms za mkataba ikiwamo kupunguziwa bei ya kumnunua
 
Ulaya na Marekani wanakufanyia majaribio kwanza ukishafuzu ndio wanakupima afya kabda ya kukupa mkataba. Kwa baadhi ya nchi za Afrika hasa za Waarabu kupima afya ni LAZIMA.

Kuna mchezaji flani mahiri aliuzwa na Simba kwenye Club moja ya Afrika Kaskazini. alipopimwa afya na status yake kujulikana ile club ilimkubali kwa sharti la ku review terms za mkataba ikiwamo kupunguziwa bei ya kumnunua
Ok hapo sawa, sasa ye si angekubali hata angelipwa m 900 bado ni hela nyingi kuliko kukomaa bongo
 
Ok hapo sawa, sasa ye si angekubali hata angelipwa m 900 bado ni hela nyingi kuliko kukomaa bongo
Ni kweli nadhani pia hakupata ushauri mzuri hasa kutoka watu wa Yanga. Hawa viongozi wa mpira wa Bongo wanawaza mechi ya Simba na Yanga tu.

Nakumbuka hata Lunyamila aliponzwa na mambo ya u Yanga na Simba akapoteza bonge la dili nje
 
Kabisa. Majuto mjukuu. Huwa inauma sana unapokula msoto kwa kugundua kwamba ukishapotesa chance ya kutengeneza mshiko. Unaweza kujiadhibu vibaya sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa unazingua tumuoneeni huruma hakuna stress mbaya kama ukija kugundua kuna mahali ulifanya ujinga ukaharibu future yako.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bongo kuna wanaume wana gene za kike, wana ile nataka sitaki.

Ukimtongoza/Ukizungumza na msichana kwa nia ya kumtaka kimapenzi na labda hata kumuoa, Atakwambia nina boyfriend, mara hili na lile. Huwa ahawaangalii how serious the issue might be, wao hukataa tu. wanataka umbembelezeeee wee , eti ukifanya hivyo ndio unampenda.

Huyo naye ukiangali story hiyo, ilikuwa ni the same situation.

Sasa mwanaume unafichwaje? kwani ukipatikana ukasikiliza kasha uka kata au ukatafuta wataalamu wakautizama mkataba wako, na ukaamua kama mwanaume.

Eti mwananume unafichwa kama demu vile, hahaha.
Alifanya ujinga wa karne

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulaya na Marekani wanakufanyia majaribio kwanza ukishafuzu ndio wanakupima afya kabda ya kukupa mkataba. Kwa baadhi ya nchi za Afrika hasa za Waarabu kupima afya ni LAZIMA.

Kuna mchezaji flani mahiri aliuzwa na Simba kwenye Club moja ya Afrika Kaskazini. alipopimwa afya na status yake kujulikana ile club ilimkubali kwa sharti la ku review terms za mkataba ikiwamo kupunguziwa bei ya kumnunua
Sema tu okwi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom