General Akudo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 560
- 827
Lakini hiyo ishu ya vipimo sidhani kama ina mashiko sana, nakumbuka Ngasa alienda kucheza Marekani mpira ule ulioneshwa live na Itv kama sikosei, pia Ngasa alienda kufanya majaribio Ulaya? Je huko kote hakukuitajika vipimo? Mi nadhani tatizo kubwa la wachezaji wa bongo hawapo kibiashara wao wanajali mapenzi yao ya timu tuMbona niliwahi kusikia sababu kuu ya Ngasa kukataa/kuogopa kwenda El Mereikh ni hofu aliyokua nayo ya kufanya kipimo fulani cha afya ambacho alikua na hofu nacho kutokana na historia ya "alikopitapita"? Kwamba pamoja na uzuri, ubora na unono wa mkataba lakini ilikua lazima apime na afaulu vipimo vya afya
Ulaya na Marekani wanakufanyia majaribio kwanza ukishafuzu ndio wanakupima afya kabda ya kukupa mkataba. Kwa baadhi ya nchi za Afrika hasa za Waarabu kupima afya ni LAZIMA.Lakini hiyo ishu ya vipimo sidhani kama ina mashiko sana, nakumbuka Ngasa alienda kucheza Marekani mpira ule ulioneshwa live na Itv kama sikosei, pia Ngasa alienda kufanya majaribio Ulaya? Je huko kote hakukuitajika vipimo? Mi nadhani tatizo kubwa la wachezaji wa bongo hawapo kibiashara wao wanajali mapenzi yao ya timu tu
Ok hapo sawa, sasa ye si angekubali hata angelipwa m 900 bado ni hela nyingi kuliko kukomaa bongoUlaya na Marekani wanakufanyia majaribio kwanza ukishafuzu ndio wanakupima afya kabda ya kukupa mkataba. Kwa baadhi ya nchi za Afrika hasa za Waarabu kupima afya ni LAZIMA.
Kuna mchezaji flani mahiri aliuzwa na Simba kwenye Club moja ya Afrika Kaskazini. alipopimwa afya na status yake kujulikana ile club ilimkubali kwa sharti la ku review terms za mkataba ikiwamo kupunguziwa bei ya kumnunua
Ni kweli nadhani pia hakupata ushauri mzuri hasa kutoka watu wa Yanga. Hawa viongozi wa mpira wa Bongo wanawaza mechi ya Simba na Yanga tu.Ok hapo sawa, sasa ye si angekubali hata angelipwa m 900 bado ni hela nyingi kuliko kukomaa bongo
Nakumbuka kusoma Mwanaspoti hii ishu kuanzia Ngasa kutakiwa mpaka mapichapicha yaliyofuata.
Hii deal ilikuja baada ya ile ya Westham.
Alizizingua chansi 2 za kua bilionea.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa unazingua tumuoneeni huruma hakuna stress mbaya kama ukija kugundua kuna mahali ulifanya ujinga ukaharibu future yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Fools can't be rich🙏🙏🙏🙏Fool's can't be rich...
Ni kurogwa sijui.Ngasa alishapelekewa mchingo kwenda zenit akaukataa mapemaaa kabisa.
Yani hakutaka hata kusikiliza au kuruhusu maongezi.
Alifanya ujinga wa karneBongo kuna wanaume wana gene za kike, wana ile nataka sitaki.
Ukimtongoza/Ukizungumza na msichana kwa nia ya kumtaka kimapenzi na labda hata kumuoa, Atakwambia nina boyfriend, mara hili na lile. Huwa ahawaangalii how serious the issue might be, wao hukataa tu. wanataka umbembelezeeee wee , eti ukifanya hivyo ndio unampenda.
Huyo naye ukiangali story hiyo, ilikuwa ni the same situation.
Sasa mwanaume unafichwaje? kwani ukipatikana ukasikiliza kasha uka kata au ukatafuta wataalamu wakautizama mkataba wako, na ukaamua kama mwanaume.
Eti mwananume unafichwa kama demu vile, hahaha.
ivi huyu si alivunja mkataba hata south africa ili kuja yanga huyu ni pimbi sanaBila kusikia stori kutoka upande wa pili yaani Ngassa mwenyewe tutabaki kumlaumu au kumhukumu hivyo kumwonea bure.
hahahaha achaga ujinga we jamaa, wangemlipa zaidi sa iv angekuwa analia liaLakini hatujui yanga walimuahidi nini ili kuachana na hilo dili, yawezekana alilipwa zaidi ya hizo za el merikh.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sema tu okwiUlaya na Marekani wanakufanyia majaribio kwanza ukishafuzu ndio wanakupima afya kabda ya kukupa mkataba. Kwa baadhi ya nchi za Afrika hasa za Waarabu kupima afya ni LAZIMA.
Kuna mchezaji flani mahiri aliuzwa na Simba kwenye Club moja ya Afrika Kaskazini. alipopimwa afya na status yake kujulikana ile club ilimkubali kwa sharti la ku review terms za mkataba ikiwamo kupunguziwa bei ya kumnunua