Ngeleja awararua wapinzani Katiba Inayopendekezwa

kamwambie mwinzi mwenzako Ngeleja tunataka pesa zetu za ESCROW .
 

Njaa inakutoa umakn wako wa kudadavua mambo muhmu
 

Usinishirikishe kwenye Likatiba lenu la wezi please.. Natamani Tanzania ndiyo ingekuwa Meli tunayotumia kusafiri.. watu kama nyie ndiyo wakuwatoseni baharini.. Maana nyie ndiyo mnaosababisha hii mijizi iendelee kutuibia kisa unapewe vihela vya chai.. Wewe nenda kaipigie kura hiyo KATIBA ya Joka lenye Makengeza maana tunajua unachopigia pale ni tumbo lako ili uendelee kuishi na sio kilichomo kwenye Katiba.

NAAMIN muda Utafika MAONI YETU YALIYOTUPWA YATATUMIKA TENA KUANDIKA KATIBA YETU
 
Reactions: BAK
Heshima ikurudie Mkuu. Hawa supporters wa wahuni wacha tule nao sahani moja badala ya kuwaacha waupotoshe umma wa Watanzania.

Heshima yako mkuu wala usipoteze muda wako kushindana na huyu mwehu wa ccm wanaipigia debe katiba iliyoandikwa na maharamia wenzake wa ccm.
 
Heshima ikurudie Mkuu. Hawa supporters wa wahuni wacha tule nao sahani moja badala ya kuwaacha waupotoshe umma wa Watanzania.
pamoja sana hakika hatukubali upotoshaji wowote utaofanywa na hawa maharamia wa ccm nakutakia usiku mwema mkuu.
 
Reactions: BAK
Walijifanya kuipinga serikali 3 lakini wala halikuwa ajenda kwa maana ya gharama ya uendeshaji. Serikali 3 ilikuwa na raisi wa jamhuri, raisi wa tanganyika ambaye sasa hivi ndiye waziri mkuu. Na raisi wa zanzibar. Wabunge 75 kwisha. Wao wamepunguza kwa kuleta raisi na makamu wake watatu na bunge la wabunge wasiopungua 350. Wapi kuna gharama hapo. Agenda haikuwa serikali 3 bali miiko ya uongozi. Hii MIIKO ya UONGOZI Ndio sababu ya katiba ya maoni ya wananchi kupitia Warioba ikatupwa. Tena walikumbuka shuka asubuhi kwa kubadili kanuni ili mkwere aikatae wapate pa kuanzia. Angalia siku ya uzinduzi, hakuwapo kiongozi yeyote aliyepita kwani waliona aibu kumvua nguo hadharani Baba wa taifa. Baba wa taifa alikuwa na mawazo mazuri sana kwa maana ya miiko ya uongozi aliyoongoza nayo hadi siku amemwachia mwinyi aliyeitoa bila aibu. Hakuna nchi inaweza kuongozwa bila kuwa na miiko. Baada ya kutolewa ndio mwanzo wa ufisadi na wizi uliotukuka. Viongozi na wananchi wote wezi. Aaah Nyerere ulibugi kutoiweka katika katiba haya ndio makosa yako makubwa sana. Ulifuata u communist wa Mao kwa nino hukuchukua na katiba yao? Leo tungekuwa kama China kila mtu anajua wajibu wake. Ni katiba ya kurasa 35 tuu zinazoeleweka. Nani atatuokoa wa tanzania? Acheni ulimbukeni kura ni hapana hadi hapo atakapotokea kiongozi jasiri tutunge katiba au tukopi ya china.
 

Pole sana kwa moyo wako mgumu wenye hisia za umasikini wa mawazo. Huu uongo unautoa wapi wewe? "Rasimu Ya Katiba ya Jaji Warioba ilivyopigwa vita na ccm na kutekwa na chama hicho, na baadae kulazimisha kutunga hiyo katiba bungeni ili kuipa sura ya utaifa".


Sitachoka kuwaelimisha wenye mapenzi mema na Tanzania ili wapuuze ujinga unaotaka kuwajaza wananchi bila sababu ya msingi. Mchakato wa kutunga Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unahistoria na uliofikisha kupatikana kwa Katiba Inayopendekezwa, iliyopitishwa na Bunge Maalum tarehe 4 Oktoba, 2014.


Awali, Tume ya Mabadiliko ya Katiba ilitoa Rasimu ya Kwanza tarehe 3 Juni, 2013 na Rasimu ya Pili ilitolewa tarehe 30 Desemba, 2014 na kuwasilishwa kwenye Bunge Maalum tarehe 21 Februari, 2014. Baada ya Bunge Maalum kukamilisha majukumu kwa mujibu wa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ya mwaka 2011. Hatua inayofuata ni ya wananchi kuipigia kura Katiba Inayopendekezwa. Hivyo basi, kwa mujibu wa sheria, wananchi ndiyo wenye uamuzi na kauli ya mwisho juu ya upatikanaji wa Katiba Mpya kulingana na ratiba muda utakapowadia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…