Ametoa facts zipi kama mchambuzi au amesimulia tu kama simulizi za Jemadari Said?Huyu ni mchambuzi....kuwa na heshima
Simba mbovu in comparison to what? Timu imeingia nane bora Africa halafu unasema mbovu? Ninyi mashabiki academia mnatuharibia timu kabisa kwa ushabiki wenu maandazi. Ulitaka ubora upi? Achukue kombe ndio ulizike? Jifunzeni kuappreciate mafanikio ndipo mtakapowatia moyo wachezaji na wawekezaji. Au ni kwa kuwa yanga ameonekana ku improve kiasi misimu hii miwili basi wewe unatumia kigezo hicho kuidhihaki Simba? Au mlitaka iwe kama Real Madrid?Binafsi nimependa hamasa iliyotolewa na rais wa heshima wa @simbasctanzania kwa kutoa ahadi ya milioni 500 iwapo timu itafanikiwa kutinga nusu fainali,lakini kama timu haitokuwa kwenye kiwango bora basi hii ahadi haitokuwa na maana yoyote kikubwa kinachotakiwa ni timu kujiandaa vizuri - @alexngereza._
#Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha @startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish
#Tv3Tanzania #GameOn
View attachment 2954294
NgerezaJina Gani mkuu
Anamaanisha ....timu inapata matokeo Kwa timu mbovu piaSimba mbovu in comparison to what? Timu imeingia nane bora Africa halafu unasema mbovu? Ninyi mashabiki academia mnatuharibia timu kabisa kwa ushabiki wenu maandazi. Ulitaka ubora upi? Achukue kombe ndio ulizike? Jifunzeni kuappreciate mafanikio ndipo mtakapowatia moyo wachezaji na wawekezaji. Au ni kwa kuwa yanga ameonekana ku improve kiasi misimu hii miwili basi wewe unatumia kigezo hicho kuidhihaki Simba? Au mlitaka iwe kama Real Madrid?
Ndivyo unavyojisifia, hakuna mchambuzi anyechambua timu moja Tena kwa kusema vibaya.Yule ni mchambuzi mashuhuli redion fulan hivi
Ila kwel, japo mimi sio simba hii umesema ni fact. Timu imeingia mzunguko wa 1/4 inapambana kutoboa 1/2, unatumia vigezo gan kwamba hii timu mbovuSimba mbovu in comparison to what? Timu imeingia nane bora Africa halafu unasema mbovu? Ninyi mashabiki academia mnatuharibia timu kabisa kwa ushabiki wenu maandazi. Ulitaka ubora upi? Achukue kombe ndio ulizike? Jifunzeni kuappreciate mafanikio ndipo mtakapowatia moyo wachezaji na wawekezaji. Au ni kwa kuwa yanga ameonekana ku improve kiasi misimu hii miwili basi wewe unatumia kigezo hicho kuidhihaki Simba? Au mlitaka iwe kama Real Madrid?