Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Binafsi nimependa hamasa iliyotolewa na rais wa heshima wa @simbasctanzania kwa kutoa ahadi ya milioni 500 iwapo timu itafanikiwa kutinga nusu fainali,lakini kama timu haitokuwa kwenye kiwango bora basi hii ahadi haitokuwa na maana yoyote kikubwa kinachotakiwa ni timu kujiandaa vizuri - @alexngereza._
#Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha @startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish
#Tv3Tanzania #GameOn
#Tv3Tanzania Katika kisimbuzi cha @startimestz CH 131 (Antena) na CH 197 (Dish
#Tv3Tanzania #GameOn