Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka dawa za mitishamba au za aina gani mkuu ??wacha nisubiri ushauri wao maana hali ni mbaya sana hapa ndugu
Za miti shamba, ikiwezekana nijue na jina lake maana hawa wanaouza dawa bwana wakati mwingine wanatoa tu dawa hata kama haitibu ugonjwa husika, sema tu kwasababu dawa za miti shamba hazina madhana sana kama za kizungu, hivyo wanatoa dawa yoyote ilimradi wapate pesa, hivyo nikipata kujua specific jina la dawa itakuwa vizuri kwani nikienda kununua nitamwambia muuzaji anipe dawa fulaniUnataka dawa za mitishamba au za aina gani mkuu ??
Ukisikia ngiri ujue ni mwanaume, mwanamke hana ngiri ana chango, hii ni ngiri na sivyo ulivyo sema weweKama ni mwanamke mpaka uzae kama nimwanaume haina dawa za kisasa zipo za kienyeji tu.ila nakushauri nenda hospital kwanza usijeukajidanganya ngiri kumbe appendix, au henia
Ok asante fanyia kazi ushauriUkisikia ngiri ujue ni mwanaume, mwanamke hana ngiri ana chango, hii ni ngiri na sivyo ulivyo sema wewe
hivi kumbe henia na ngiri ni vitu viwili tofauti?usijeukajidanganya ngiri kumbe appendix, au henia
Namimi nashangaa kuona kiwa nitofauti wakat ninavyojua ngiri ni henia. Hata nmekua nikisoma najua ngiri ni henia.Jamii forum nifahamisheni wakuuhivi kumbe henia na ngiri ni vitu viwili tofauti?
Habari wana jf,
Ndugu zangu ngiri imenikamata kweli kweli ngiri ya tumbo, yaani linauma ile mbaya toka juzi naombeni mnisaidie kujua dawa ya hii kitu, ngiri ya tumboni
Poa nduguPole sana mkuu
Nakushauri mtafute MziziMkavu anapatikana humu ndani JF naamini atakusaidia tatizo lako
Pole kıwa kuumwa na hiyo ninakupa kwanza huduma ya kwanza twanga pilipili mtama kijiko 1kidogo changanya na Asali safi ya nyuki kijiko 1 kikubwa koroga vizuri kisha unywe asubuhi kabla ya kula kitu na mchana ule tena na usikuuele tena hivyo hivyo. Ukitaka Dawa ya kuweza kupona kabisa nitafute kwa wakati wako. Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169Habari wana jf,
Ndugu zangu ngiri imenikamata kweli kweli ngiri ya tumbo, yaani linauma ile mbaya toka juzi naombeni mnisaidie kujua dawa ya hii kitu, ngiri ya tumboni