Elections 2010 Ng'jhili avunja ukimya, na kusema 'CHADEMA in struggle for independence'

Elections 2010 Ng'jhili avunja ukimya, na kusema 'CHADEMA in struggle for independence'

Dr. Slaa Nyerere wa Sasa,, Ng'hili kaza boot
 
Ile methali haikuwa na tatizo. Mie tatizo nililoliona ni pale huyo bwana aliposema ' Kikwete hakufunzwa na mama yake....' It was uncalled for. Angeishia kwenye hiyo methali watu wasingemlaumu. Lakini kumhusisha mama yake haikukaa vizuri. Kuna watu wengi wasiompenda Kikwete lakini hawakufurahia hili.

nakubaliana na wewe
 
Peeeeeeooooooopleeeeee 2015 CCM wanajua tu na wanafikiria mbinu za kuchakachua 2015
 
Ile methali haikuwa na tatizo. Mie tatizo nililoliona ni pale huyo bwana aliposema ' Kikwete hakufunzwa na mama yake....' It was uncalled for. Angeishia kwenye hiyo methali watu wasingemlaumu. Lakini kumhusisha mama yake haikukaa vizuri. Kuna watu wengi wasiompenda Kikwete lakini hawakufurahia hili.

KAtika Siasa mama yake Kikwete ni CCM na ndio iliyomlea kisiasa. Kikwete alisimama kama sehemu ya Chama chake na sio mambo ya nyumbani.
 
Mkuu Dickson,mimi nshawahi kuhandika hapa Jamvini kuwa siku utakapopelekwa mahakamani kwa kesi iyo nami napanda mahakamani kuishtaki serikali kwa kufundisha matusi primary. Mi nakumbuka nilipokuwa shule ya msingi nakumbuka nilifundishwa methali hii. Pia niko najiandaa kuanzisha mchakato kule muleba,nataka kuipanua Chadema mana naona haijaenea kule watu wanaitaka lakini hawajapata wa kuwaelekeza,pia ntakuomba unipe sapoti ntakapoomba ushirikiano. Nakutakia siku njema.
 
Mkuu Dickson,mimi nshawahi kuhandika hapa Jamvini kuwa siku utakapopelekwa mahakamani kwa kesi iyo nami napanda mahakamani kuishtaki serikali kwa kufundisha matusi primary. Mi nakumbuka nilipokuwa shule ya msingi nakumbuka nilifundishwa methali hii. Pia niko najiandaa kuanzisha mchakato kule muleba,nataka kuipanua Chadema mana naona haijaenea kule watu wanaitaka lakini hawajapata wa kuwaelekeza,pia ntakuomba unipe sapoti ntakapoomba ushirikiano. Nakutakia siku njema.
Duh Muleba ipi? Kusini au Kaskazini?
Maana kusini kumekucha sana. Safari hii walikuwa na viti vingi sana vya udiwani katika hali ya kushangaza sana. Kama ni huko najua una mtaji tayari. Jipange uanze sasa not later!
 
Re: Asiyefunzwa na mamaye atafunzwa na ulimwengu ni tusi?
Ndugu zangu, nimechelwa sana kujibu tuhuma dhidi yangu kwani ni mimi Dickson Amos Ng'hily ndo nilituhumiwa kumtukana Rais Kikwete....Nway mengi yamesemwa..Ndugu zangu...ninachoseam ni kile kile nilichowaambia police....sikumtukana rais coz urais ni taasisi na kamwe siwezi kuitukana..ninaiheshimu sana...ila mimi nilimuongelea bwana mmoja anaitwa Kikwete....Na yale niliyosema siyo matusi...na ukweli sikusudii na sitarajii kuomba msamaha kwani ninaamini nilichokisema siyo tusi...Na ukweli sijutii nilichokisema na hata polisi niliwaeleza na ndio maana baada ya kuhojiwa kwa saa tano...waliniachia huru na kunipa onyo kuwa japo sio tusi ila wanaomba nisirudie kusema maneno kama hayo.....Wanaotaka maelezo zaid wanaweza kuwasiliana na mimi moja kwa moja kwa kutumia barua pepe yangu ya nghily@hotmail.com au dick333amos@yahoo.com au kwa simu ya kiganjani ya +255 71 553 9602, na +255 75 453 9602

Asanteni kwa michango yenu....

Kwa mtindo Huu Chadema basdo ipo kwenye mapambano,, na inaendelea kusaka Kura za 2015, uraisi na wabunge majimboni,, naomba tuiunge mkono kwanguvu ya watuuu

Peeeeoooopleeeee..........:israel:




Pole Mzee!! nimefurahi kukusikia maana nilisoma tu kwenye magazeti na bahati mbaya hayakufafanua ni tusi gani. Nadani sasa ni kujiweka sawa kwa maandalizi ya 2015.
 
Duh Muleba ipi? Kusini au Kaskazini?
Maana kusini kumekucha sana. Safari hii walikuwa na viti vingi sana vya udiwani katika hali ya kushangaza sana. Kama ni huko najua una mtaji tayari. Jipange uanze sasa not later!

mkuu miko kusini pale,pale alikokimbizwa masilingi. Najua mama Ana mzuri ila najua ntamusaidia dr.slaa na Chadema yetu kwa ujumla kuamsha wanaMuleba kusini. Kule wanaitaka chadema ila wa kuwashika mkono hajajitokeza!
 
Tangu mwanzo nilijua no case to answer ila ilikuwa ni vihelehele wa CCM wanaotafuta vyeo vya hisani maana hivyo ndivyo vitolewavyo na CCM walilifanya issue ili kikwete awaone bora.

Hivi mambo anayoshadadia Makamba unadhani huwa yana maana? Ni mzee aliyehishiwa hekima na sasa hivi anatumia mdomo kufikiri. Hivyo anasema lolote tu.

Tangu lini mbakaji akawa na hekima? Kama hekima ya kumpiga sound demu hadi akukubali huna, uapata hekima ya kuongea ya maana?
 
cha msingi ni kuwa Ng'hili alifanya kazi iliyo muweka Pale, na alicho kisema si Cha uwongo, kwasababu ahadi si deni, je Kikwete alitimiza Madeni hayo?
 
Haya tutaona hapo mutapoingia ikulu namna mutavotukana watanzania ....muungu aepeshe mbali....

Mtajiju, wazee wa CCM wanapukutika, tunawazka!

Wapga kura 2015,ni wazaliwa wa 90's and 80's!

PEOPLES, PAWAAAA!
 
umeeleweka sanaaaa..na hii nimeipenda kweli kweli
 
nafikiri Mpaka hapo tumeelewana, na Jimbo la tunduru tunataka kupeleka People power kule ili kufanikisha movement za 2015
 
Mie tatizo nililoliona ni pale huyo bwana aliposema ' Kikwete hakufunzwa na mama yake....' It was uncalled for. Angeishia kwenye hiyo methali watu wasingemlaumu. Lakini kumhusisha mama yake haikukaa vizuri. Kuna watu wengi wasiompenda Kikwete lakini hawakufurahia hili.

Leo nilikuwa napitia comment za wanajamii kukumbuka yaliyopita katika uchaguzi mkuu uliopita na nikakuta comment yako....Ndugu yangu, mimi nilikuwa mwangalifu sana katika kuchagua maneno...Sikusema kikwete hakufunzwa na mamaye na sikumuhusisha mamaye...nilitumia neno 'Kama' kikwete hakufunzwa na mamaye....Sa ndugu yangu MzeePunch, unapotumia neno 'KAMA' ina maana huna hakika. Yawezekana kafunzwa au yawezekana hakufunzwa.....Sasa hapo hiyo unayoseama haikuitajika niipi? Samahani kwa kukurudisha kwa tukio lililopita....Na pia napenda nichukue fulsa hii coz nimekuwa nikipigiwa simu sana na wapendwa wangu watanzania kutaka kujua kesi imefikia wapi! Kiukweli hakuna kesi na mimi niko huru toka kipindi kile naendelea na harakati kwa ajili ya 2015. Mungu awabariki.
 
Ushauri wangu Kwako kaka ni Punguza Jazba,, mimi najua ni jazba za kushangaaFursa za maendeleo sisi tunazo lakini kwanini hatuendelei, then kuna watu wanayazuia maendeleo hayo, usemi wangu mimi ni uleule kuwa Wewe ulishinda tena kwa kishindo lakini Ile issue ilikupunguzia Marx pale kaka, sasa umetucost coz kazi ijayo ilikuwa kwa majimbo mengiine umetuongezea kazi ngumu kaka...
 
Back
Top Bottom