Poz bizo swaxter
Member
- Feb 27, 2013
- 46
- 3
daaah unajua mwanadam asie juta kwa mapungufu au mabaya aliyo tenda ujue bado haja pevuka akili pia kupitwa na mazuri pia ni hasara kubwa JF patamu xana nili ingia kwa bahati mbaya lakini kwa sasa roho ina pwita!