Alkebulan
Member
- Jan 15, 2013
- 80
- 160
nimekua nikiisikia 2 jamiiforums wa2 wakiitamka na kwenye mitandao na brogu tofaut tofaut. lakin nilipo itembelea kwa mara ya kwanza sikuamini nilicho kikuta kweli jf ni the home of great thinkers!! HODI HODI wenyej nikaribishen kwenye iki kisima cha elimu tuendelee kuelimishana.