Ngoja leo tuambiane ukweli Vijana wenzangu namna ya kufanikiwa kiuchumi

Nilikua bado sijasoma Id kumbe ni wewe Mkuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ushauri mzuri.
 
Haya Sasa mnaosemaga nilipoanza kusoma na kuamua kurud juu unakuta I'd ya kiduku lilo Leo mnasemaje?

Leo umetisha sana brother hasa kipengele cha nikamuuliza utatoa wapi hela ya service na mafuta akaangalia chini labda nilidhani huko chini ndio kutalipa hayo

Ngoja niandae mkeka wangu wakuu, vipi nimuue man u na atlanta au niwape double chance
 
Kufanya kazi kwabidii tanzania bado nitatizo kubwa ushauri saf sana ila wengi wanashida ya hela sio kazi
 
Kiduku Lilo leo nimekuelewa saaaana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…