Ngoja leo tuambiane ukweli Vijana wenzangu namna ya kufanikiwa kiuchumi

Daaah mkuu umeongea point pia, Ila mi nakulaumu Sana kutumia Tecno kujibu Uzi ulioandikwa Kwa iPhone X 😃

Inahitaji mtu smart kuelewa ulichoandika. Nahisi upo vizuri sana kwenye matumizi ya lugha.
 
Kama ni hivyo ilibidi alivyomaliza form 4 aache kwenda advance badala yake akajifunze kuchakata viazi viwe chips. Umeona hapo elimu ya miaka miwili ya advance na minne ya udaktari haitumiki kabisa kwenye utengenezaji wa chips.

See! Kumbe angeenda somea upishi au certificate tu ya business au sasa alienda soma (informa education) kwa wakaanga chips,akajifunza ABCs za biashara akaanza kazi. But miaka ile 2 na 5 ya chuo jumla 7 wastage of time.
 
vijana watasoma hili na watasahau.


kipaji unachokitumia kuwapata wanawake kitumie ktk kuwashawishi wateja kununua bidhaa yako

AHSANTE KIDUKU.... KUWA NA WANAWAKE WENGI NI KUJICHOSHA AKILI, KUPOTEZA MUDA NA FEDHA NA KUJIWEKA KTK HATARI YA STRESS NA MAGONJWA


WAALIMU WETU NA WAZAZ WETU WAKAT WA SHULE WALITUSISITIZA KUWA WANAWAKE WAZURI HAWAISHI , WANAZALIWA KILA SIKU
 
Mbona ameeleweka tatizo lako nini sio kila mtu lazima asome get point yake mkuu
Unaposema "kusoma"unamaanisha nini?mpaka la saba,kidato Cha nne?sita?au shahada ya Kwanza,Elimu ya juu?PHD?au nini?tuanzie hapo,
Na kwanini usiwe navyo vyote?mfano ukisoma uhandisi wa umeme,ndani yake humo,unaweza ukafsnya hata music production,je kuna ubaya gani kusoma Sheria,harafu ukawa mpiga picha,ukafungua studio,
Mpaka upate Elimu ya juu,kuna vitu vingi unasoma,IT,ujasiriamali,unaweza ukawa mechanical engineer,harafu ukawa unafanya video production

Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
 
Ushauri wako ni mzuri sana hasa kwa vijana kuweni vision ya maisha yajao!! Asante kwa ushauri mzuri utafanyiwa kazi mkuu!!!
 
Wanawake wazuri wapo kila siku na wanazaliwa, piga kazi mtoto wa kiume ili uzeeni uishi kama mfalme!!
 
Wanawake wazuri wapo kila siku na wanazaliwa, piga kazi mtoto wa kiume ili uzeeni uishi kama mfalme!!
 
See! Kumbe angeenda somea upishi au certificate tu ya business au sasa alienda soma (informa education) kwa wakaanga chips,akajifunza ABCs za biashara akaanza kazi. But miaka ile 2 na 5 ya chuo jumla 7 wastage of time.
Kiduku hizi ID vipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…