Ngoja nijaribu kutunga jinsi ya kuwa bilionea kwa hii 500

Ngoja nijaribu kutunga jinsi ya kuwa bilionea kwa hii 500

Ngoja nijaribu kutunga jinsi ya kuwa bilionea kwa hii 500.
.
Nunua tikiti kwenye lori la jumla 500, uza 1500 mpaka 2000 ila nitacheza na 1500. Nunua matikiti mawili 1000 na uuze 1500 jumla 3000. Ile 500 ya usumbufu tu. Chukua matunda mchanganyiko ya 2500 Kwenye maeneo ya jumla kumbuka utapata kwa bei rahisi alafu uza utapata 5000 mpaka 7500 ila nacheza na 5000. Ukifanya vile vile inakuja 10,000 alafu 20,000 alafu 40,000 alafu 80,000 alafu 160,000.
.
Chukua 100,000 anzisha station ya matunda mtaani kwenu na lengo iwe kukishi mahitaji madogo. Ndani ya wiki ilutakuwa na 300,000. Anza kuongeza viungo vya kupikia na mboga za majani. Utavuta 500,000 ndani ya wiki mbili. .
Wakati haya yanaendelea jaribu kufungua account bank, iweke fixed kama mwaka tu, kufungua account siku hizi hata bure. Weka 5,000 kila siku (usipuuzie) kuna sim banking kwahiyo unaweza hata weka kwa mpesa. Sasa tukifanya hujabadilika inamaana unaingiza 500,000 kwa wiki mbili kwenye duka lako la matunda na mboga na pia ndani ya mwaka utakuwa na 1,825,000 kwenye account yako. .
Nunua pikipiki 1,500,000 ajiri ndugu yako ambaye unamuamini hana kazi muambie akuletee mahesabu ya 70,000 kila wiki alafu ndani ya mwaka utamuuzia kwa 700,000 pikipiki inakuwa yake (investing mind). Mwisho wa mwaka unachukua 4,060,000. Mpaka sasa tumetumia miaka miwili najua ni mingi ila nenda sawa na mimi. Nunua gari used 5,000,000 (Unayo kwasababu una biashara kubwa na nimeacha kuiongelea lakini inakuwa ngoja niirudie sasa). Kwenye duka lako fanya kama mini supermarket, kuna matunda na vitu vingine vya madukani vya kula n.k. Kwa mwezi unaingiza 1,500,000 kwahiyo kwa mwaka hauna chini ya at least 10,000,000. Weka na ile 4M una 14M weka na 1.8 ya mwaka huu wa pili una 15.8 approx 16M. .
Narudi sasa chukua gari used 2 za 6M kila moja(nimebadilisha, sio 5 tena, sijasahau). Sasa una gari mbili na 4M. Chukua pikipiki 2 pia unabaki na 1M. Zile gari weka Uber dereva akuletee 30,000 kwa siku kila gari basi utakuwa na 21,900,000 mwisho wa mwaka. Pikipiki fanya kama ya mwanza kwa hizi mbili utakuwa na 8,120,000, dukani utakuwa na 10,000,000 na bank utakuwa na 1,800,000, basi jumla ni 41,820,000.
.
Au nunua bando nitukane, ni wewe tu [emoji5]
[emoji849] [emoji849] [emoji849] [emoji117] hiki ndo kikokotoo kipya!?

Sent from my TECNO WX3 using Tapatalk
 
Ngoja nijaribu kutunga jinsi ya kuwa bilionea kwa hii 500.
.
Nunua tikiti kwenye lori la jumla 500, uza 1500 mpaka 2000 ila nitacheza na 1500. Nunua matikiti mawili 1000 na uuze 1500 jumla 3000. Ile 500 ya usumbufu tu. Chukua matunda mchanganyiko ya 2500 Kwenye maeneo ya jumla kumbuka utapata kwa bei rahisi alafu uza utapata 5000 mpaka 7500 ila nacheza na 5000. Ukifanya vile vile inakuja 10,000 alafu 20,000 alafu 40,000 alafu 80,000 alafu 160,000.
.
Chukua 100,000 anzisha station ya matunda mtaani kwenu na lengo iwe kukishi mahitaji madogo. Ndani ya wiki ilutakuwa na 300,000. Anza kuongeza viungo vya kupikia na mboga za majani. Utavuta 500,000 ndani ya wiki mbili. .
Wakati haya yanaendelea jaribu kufungua account bank, iweke fixed kama mwaka tu, kufungua account siku hizi hata bure. Weka 5,000 kila siku (usipuuzie) kuna sim banking kwahiyo unaweza hata weka kwa mpesa. Sasa tukifanya hujabadilika inamaana unaingiza 500,000 kwa wiki mbili kwenye duka lako la matunda na mboga na pia ndani ya mwaka utakuwa na 1,825,000 kwenye account yako. .
Nunua pikipiki 1,500,000 ajiri ndugu yako ambaye unamuamini hana kazi muambie akuletee mahesabu ya 70,000 kila wiki alafu ndani ya mwaka utamuuzia kwa 700,000 pikipiki inakuwa yake (investing mind). Mwisho wa mwaka unachukua 4,060,000. Mpaka sasa tumetumia miaka miwili najua ni mingi ila nenda sawa na mimi. Nunua gari used 5,000,000 (Unayo kwasababu una biashara kubwa na nimeacha kuiongelea lakini inakuwa ngoja niirudie sasa). Kwenye duka lako fanya kama mini supermarket, kuna matunda na vitu vingine vya madukani vya kula n.k. Kwa mwezi unaingiza 1,500,000 kwahiyo kwa mwaka hauna chini ya at least 10,000,000. Weka na ile 4M una 14M weka na 1.8 ya mwaka huu wa pili una 15.8 approx 16M. .
Narudi sasa chukua gari used 2 za 6M kila moja(nimebadilisha, sio 5 tena, sijasahau). Sasa una gari mbili na 4M. Chukua pikipiki 2 pia unabaki na 1M. Zile gari weka Uber dereva akuletee 30,000 kwa siku kila gari basi utakuwa na 21,900,000 mwisho wa mwaka. Pikipiki fanya kama ya mwanza kwa hizi mbili utakuwa na 8,120,000, dukani utakuwa na 10,000,000 na bank utakuwa na 1,800,000, basi jumla ni 41,820,000.
.
Au nunua bando nitukane, ni wewe tu [emoji5]
Ukimaliza mu-acknowledge Idrisa Sultan na ukimaliza acha wizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja nijaribu kutunga jinsi ya kuwa bilionea kwa hii 500.
.
Nunua tikiti kwenye lori la jumla 500, uza 1500 mpaka 2000 ila nitacheza na 1500. Nunua matikiti mawili 1000 na uuze 1500 jumla 3000. Ile 500 ya usumbufu tu. Chukua matunda mchanganyiko ya 2500 Kwenye maeneo ya jumla kumbuka utapata kwa bei rahisi alafu uza utapata 5000 mpaka 7500 ila nacheza na 5000. Ukifanya vile vile inakuja 10,000 alafu 20,000 alafu 40,000 alafu 80,000 alafu 160,000.
.
Chukua 100,000 anzisha station ya matunda mtaani kwenu na lengo iwe kukishi mahitaji madogo. Ndani ya wiki ilutakuwa na 300,000. Anza kuongeza viungo vya kupikia na mboga za majani. Utavuta 500,000 ndani ya wiki mbili. .
Wakati haya yanaendelea jaribu kufungua account bank, iweke fixed kama mwaka tu, kufungua account siku hizi hata bure. Weka 5,000 kila siku (usipuuzie) kuna sim banking kwahiyo unaweza hata weka kwa mpesa. Sasa tukifanya hujabadilika inamaana unaingiza 500,000 kwa wiki mbili kwenye duka lako la matunda na mboga na pia ndani ya mwaka utakuwa na 1,825,000 kwenye account yako. .
Nunua pikipiki 1,500,000 ajiri ndugu yako ambaye unamuamini hana kazi muambie akuletee mahesabu ya 70,000 kila wiki alafu ndani ya mwaka utamuuzia kwa 700,000 pikipiki inakuwa yake (investing mind). Mwisho wa mwaka unachukua 4,060,000. Mpaka sasa tumetumia miaka miwili najua ni mingi ila nenda sawa na mimi. Nunua gari used 5,000,000 (Unayo kwasababu una biashara kubwa na nimeacha kuiongelea lakini inakuwa ngoja niirudie sasa). Kwenye duka lako fanya kama mini supermarket, kuna matunda na vitu vingine vya madukani vya kula n.k. Kwa mwezi unaingiza 1,500,000 kwahiyo kwa mwaka hauna chini ya at least 10,000,000. Weka na ile 4M una 14M weka na 1.8 ya mwaka huu wa pili una 15.8 approx 16M. .
Narudi sasa chukua gari used 2 za 6M kila moja(nimebadilisha, sio 5 tena, sijasahau). Sasa una gari mbili na 4M. Chukua pikipiki 2 pia unabaki na 1M. Zile gari weka Uber dereva akuletee 30,000 kwa siku kila gari basi utakuwa na 21,900,000 mwisho wa mwaka. Pikipiki fanya kama ya mwanza kwa hizi mbili utakuwa na 8,120,000, dukani utakuwa na 10,000,000 na bank utakuwa na 1,800,000, basi jumla ni 41,820,000.
.
Au nunua bando nitukane, ni wewe tu [emoji5]
Wakati unayafanya hayo unakaa kwenu na kupewa kila kitu
 
Ngoja nijaribu kutunga jinsi ya kuwa bilionea kwa hii 500.
.
Nunua tikiti kwenye lori la jumla 500, uza 1500 mpaka 2000 ila nitacheza na 1500. Nunua matikiti mawili 1000 na uuze 1500 jumla 3000. Ile 500 ya usumbufu tu. Chukua matunda mchanganyiko ya 2500 Kwenye maeneo ya jumla kumbuka utapata kwa bei rahisi alafu uza utapata 5000 mpaka 7500 ila nacheza na 5000. Ukifanya vile vile inakuja 10,000 alafu 20,000 alafu 40,000 alafu 80,000 alafu 160,000.
.
Chukua 100,000 anzisha station ya matunda mtaani kwenu na lengo iwe kukishi mahitaji madogo. Ndani ya wiki ilutakuwa na 300,000. Anza kuongeza viungo vya kupikia na mboga za majani. Utavuta 500,000 ndani ya wiki mbili. .
Wakati haya yanaendelea jaribu kufungua account bank, iweke fixed kama mwaka tu, kufungua account siku hizi hata bure. Weka 5,000 kila siku (usipuuzie) kuna sim banking kwahiyo unaweza hata weka kwa mpesa. Sasa tukifanya hujabadilika inamaana unaingiza 500,000 kwa wiki mbili kwenye duka lako la matunda na mboga na pia ndani ya mwaka utakuwa na 1,825,000 kwenye account yako. .
Nunua pikipiki 1,500,000 ajiri ndugu yako ambaye unamuamini hana kazi muambie akuletee mahesabu ya 70,000 kila wiki alafu ndani ya mwaka utamuuzia kwa 700,000 pikipiki inakuwa yake (investing mind). Mwisho wa mwaka unachukua 4,060,000. Mpaka sasa tumetumia miaka miwili najua ni mingi ila nenda sawa na mimi. Nunua gari used 5,000,000 (Unayo kwasababu una biashara kubwa na nimeacha kuiongelea lakini inakuwa ngoja niirudie sasa). Kwenye duka lako fanya kama mini supermarket, kuna matunda na vitu vingine vya madukani vya kula n.k. Kwa mwezi unaingiza 1,500,000 kwahiyo kwa mwaka hauna chini ya at least 10,000,000. Weka na ile 4M una 14M weka na 1.8 ya mwaka huu wa pili una 15.8 approx 16M. .
Narudi sasa chukua gari used 2 za 6M kila moja(nimebadilisha, sio 5 tena, sijasahau). Sasa una gari mbili na 4M. Chukua pikipiki 2 pia unabaki na 1M. Zile gari weka Uber dereva akuletee 30,000 kwa siku kila gari basi utakuwa na 21,900,000 mwisho wa mwaka. Pikipiki fanya kama ya mwanza kwa hizi mbili utakuwa na 8,120,000, dukani utakuwa na 10,000,000 na bank utakuwa na 1,800,000, basi jumla ni 41,820,000.
.
Au nunua bando nitukane, ni wewe tu [emoji5]
Hii inaitwa ijue nguvu ya jero

Ila hizo ni hela za kwenye karatasi tu ...kwenye uhalisia things are not so easy.
 
mkuu kikokotoo ulichotumia hapo nakumbuka jiwe alikistopisha juz kati hapa
 
Ni rahisi sana kiandika ila kiuhalisia si jambo rahisi ambalo linakosa kikwazo hata kimoja yaani unaserereka tu.
Acha tjifunze kutoka kwake utajir wake wa 2 years then we will follow his steps
 
kijana maisha yangekuwa unafikiria kirahisi tu kama hivyo unafanikiwa basi Watanzania tungekuwa tayari kwenye uchumi wa kati,kama ulikuwa haujui mambo yanayomkwamisha mfanyabiashara mdogo basi ni haya;
1.Gharama ya kula
2.Gharama ya makazi
3.Gharama ya matibabu.
NB:Biashara yeyote haitakiwi kutegemewa kwa chochote na mfanyabiashara mpaka baada ya mwaka mmoja au miwili,jifunze au uliza jinsi GROUP OF COMPANIES zinavyoendeshwa ndio utaelewa ninachomaanisha
ila atleast ameweza kutoa mwanga flan kwa mtu ambaye hana cha kufanya mtaani,anaweza kuanza hata na buku tano akafika mahala akawa na mtaji wa milioni 2...Big up kwa mtoa mada
 
Ngoja nijaribu kutunga jinsi ya kuwa bilionea kwa hii 500.
.
Nunua tikiti kwenye lori la jumla 500, uza 1500 mpaka 2000 ila nitacheza na 1500. Nunua matikiti mawili 1000 na uuze 1500 jumla 3000. Ile 500 ya usumbufu tu. Chukua matunda mchanganyiko ya 2500 Kwenye maeneo ya jumla kumbuka utapata kwa bei rahisi alafu uza utapata 5000 mpaka 7500 ila nacheza na 5000. Ukifanya vile vile inakuja 10,000 alafu 20,000 alafu 40,000 alafu 80,000 alafu 160,000.
.
Chukua 100,000 anzisha station ya matunda mtaani kwenu na lengo iwe kukishi mahitaji madogo. Ndani ya wiki ilutakuwa na 300,000. Anza kuongeza viungo vya kupikia na mboga za majani. Utavuta 500,000 ndani ya wiki mbili. .
Wakati haya yanaendelea jaribu kufungua account bank, iweke fixed kama mwaka tu, kufungua account siku hizi hata bure. Weka 5,000 kila siku (usipuuzie) kuna sim banking kwahiyo unaweza hata weka kwa mpesa. Sasa tukifanya hujabadilika inamaana unaingiza 500,000 kwa wiki mbili kwenye duka lako la matunda na mboga na pia ndani ya mwaka utakuwa na 1,825,000 kwenye account yako. .
Nunua pikipiki 1,500,000 ajiri ndugu yako ambaye unamuamini hana kazi muambie akuletee mahesabu ya 70,000 kila wiki alafu ndani ya mwaka utamuuzia kwa 700,000 pikipiki inakuwa yake (investing mind). Mwisho wa mwaka unachukua 4,060,000. Mpaka sasa tumetumia miaka miwili najua ni mingi ila nenda sawa na mimi. Nunua gari used 5,000,000 (Unayo kwasababu una biashara kubwa na nimeacha kuiongelea lakini inakuwa ngoja niirudie sasa). Kwenye duka lako fanya kama mini supermarket, kuna matunda na vitu vingine vya madukani vya kula n.k. Kwa mwezi unaingiza 1,500,000 kwahiyo kwa mwaka hauna chini ya at least 10,000,000. Weka na ile 4M una 14M weka na 1.8 ya mwaka huu wa pili una 15.8 approx 16M. .
Narudi sasa chukua gari used 2 za 6M kila moja(nimebadilisha, sio 5 tena, sijasahau). Sasa una gari mbili na 4M. Chukua pikipiki 2 pia unabaki na 1M. Zile gari weka Uber dereva akuletee 30,000 kwa siku kila gari basi utakuwa na 21,900,000 mwisho wa mwaka. Pikipiki fanya kama ya mwanza kwa hizi mbili utakuwa na 8,120,000, dukani utakuwa na 10,000,000 na bank utakuwa na 1,800,000, basi jumla ni 41,820,000.
.
Au nunua bando nitukane, ni wewe tu ☺
Nilichokusifu mdogo wangu ni kwamba umetoa njia ambayo wapo watakaoamua kuifanya hiyo biashara anagalau waksahau kuomba omba vocha kwa mashemeji zao,sio lazma aanze na jelo au apate faida kubwa kama ulivyosema wewe ila naamini hawezi kukosa faida walau ya buku 5 kwa siku...ikiwa mtu anauza miguu ya kuku Keko na anaishi huyo wa matunda atashindwa nini? narudia tena flame work yako ni nzuri inafaa kwa kuanzia kwa watu wasiojua nini cha kufanya mtaani
 
Nadharia nzuri ila hapo bado haujapigwa mizinga, matunda yakaoza kwa kukosa soko,ukakabwa na vibaka wakakupukutisha hela yote.Ndugu yako unayemuamini akaitia pikipiki mtaroni, au ikaibiwa, magari uliyonunua yakawa mabovu ukakosa hela ya kununulia parts. Mkuu, the road to richness is not that straight forward.
 
Ngoja nijaribu kutunga jinsi ya kuwa bilionea kwa hii 500.
.
Nunua tikiti kwenye lori la jumla 500, uza 1500 mpaka 2000 ila nitacheza na 1500. Nunua matikiti mawili 1000 na uuze 1500 jumla 3000. Ile 500 ya usumbufu tu. Chukua matunda mchanganyiko ya 2500 Kwenye maeneo ya jumla kumbuka utapata kwa bei rahisi alafu uza utapata 5000 mpaka 7500 ila nacheza na 5000. Ukifanya vile vile inakuja 10,000 alafu 20,000 alafu 40,000 alafu 80,000 alafu 160,000.
.
Chukua 100,000 anzisha station ya matunda mtaani kwenu na lengo iwe kukishi mahitaji madogo. Ndani ya wiki ilutakuwa na 300,000. Anza kuongeza viungo vya kupikia na mboga za majani. Utavuta 500,000 ndani ya wiki mbili. .
Wakati haya yanaendelea jaribu kufungua account bank, iweke fixed kama mwaka tu, kufungua account siku hizi hata bure. Weka 5,000 kila siku (usipuuzie) kuna sim banking kwahiyo unaweza hata weka kwa mpesa. Sasa tukifanya hujabadilika inamaana unaingiza 500,000 kwa wiki mbili kwenye duka lako la matunda na mboga na pia ndani ya mwaka utakuwa na 1,825,000 kwenye account yako. .
Nunua pikipiki 1,500,000 ajiri ndugu yako ambaye unamuamini hana kazi muambie akuletee mahesabu ya 70,000 kila wiki alafu ndani ya mwaka utamuuzia kwa 700,000 pikipiki inakuwa yake (investing mind). Mwisho wa mwaka unachukua 4,060,000. Mpaka sasa tumetumia miaka miwili najua ni mingi ila nenda sawa na mimi. Nunua gari used 5,000,000 (Unayo kwasababu una biashara kubwa na nimeacha kuiongelea lakini inakuwa ngoja niirudie sasa). Kwenye duka lako fanya kama mini supermarket, kuna matunda na vitu vingine vya madukani vya kula n.k. Kwa mwezi unaingiza 1,500,000 kwahiyo kwa mwaka hauna chini ya at least 10,000,000. Weka na ile 4M una 14M weka na 1.8 ya mwaka huu wa pili una 15.8 approx 16M. .
Narudi sasa chukua gari used 2 za 6M kila moja(nimebadilisha, sio 5 tena, sijasahau). Sasa una gari mbili na 4M. Chukua pikipiki 2 pia unabaki na 1M. Zile gari weka Uber dereva akuletee 30,000 kwa siku kila gari basi utakuwa na 21,900,000 mwisho wa mwaka. Pikipiki fanya kama ya mwanza kwa hizi mbili utakuwa na 8,120,000, dukani utakuwa na 10,000,000 na bank utakuwa na 1,800,000, basi jumla ni 41,820,000.
.
Au nunua bando nitukane, ni wewe tu ☺
kwenye kufungua tu kituo cha kuuza matunda ushafeli then hujapigia mahesabu matumizi mengine kama chakula hapo umekula bonge la ngwaraa
 
Jinsi ya kuwa milionea ndani ya siku moja.
Omba mtu akuazime 1000
Nenda kabeti perfect12 au jackpot.
Patia timu zote 12 au 13 kwa usahihi
Utajishindia milioni 50 na kuendelea.
Rudisha 1000 uliyoazima. Enjoy
 
Ngoja nijaribu kutunga jinsi ya kuwa bilionea kwa hii 500.
.
Nunua tikiti kwenye lori la jumla 500, uza 1500 mpaka 2000 ila nitacheza na 1500. Nunua matikiti mawili 1000 na uuze 1500 jumla 3000. Ile 500 ya usumbufu tu. Chukua matunda mchanganyiko ya 2500 Kwenye maeneo ya jumla kumbuka utapata kwa bei rahisi alafu uza utapata 5000 mpaka 7500 ila nacheza na 5000. Ukifanya vile vile inakuja 10,000 alafu 20,000 alafu 40,000 alafu 80,000 alafu 160,000.
.
Chukua 100,000 anzisha station ya matunda mtaani kwenu na lengo iwe kukishi mahitaji madogo. Ndani ya wiki ilutakuwa na 300,000. Anza kuongeza viungo vya kupikia na mboga za majani. Utavuta 500,000 ndani ya wiki mbili. .
Wakati haya yanaendelea jaribu kufungua account bank, iweke fixed kama mwaka tu, kufungua account siku hizi hata bure. Weka 5,000 kila siku (usipuuzie) kuna sim banking kwahiyo unaweza hata weka kwa mpesa. Sasa tukifanya hujabadilika inamaana unaingiza 500,000 kwa wiki mbili kwenye duka lako la matunda na mboga na pia ndani ya mwaka utakuwa na 1,825,000 kwenye account yako. .
Nunua pikipiki 1,500,000 ajiri ndugu yako ambaye unamuamini hana kazi muambie akuletee mahesabu ya 70,000 kila wiki alafu ndani ya mwaka utamuuzia kwa 700,000 pikipiki inakuwa yake (investing mind). Mwisho wa mwaka unachukua 4,060,000. Mpaka sasa tumetumia miaka miwili najua ni mingi ila nenda sawa na mimi. Nunua gari used 5,000,000 (Unayo kwasababu una biashara kubwa na nimeacha kuiongelea lakini inakuwa ngoja niirudie sasa). Kwenye duka lako fanya kama mini supermarket, kuna matunda na vitu vingine vya madukani vya kula n.k. Kwa mwezi unaingiza 1,500,000 kwahiyo kwa mwaka hauna chini ya at least 10,000,000. Weka na ile 4M una 14M weka na 1.8 ya mwaka huu wa pili una 15.8 approx 16M. .
Narudi sasa chukua gari used 2 za 6M kila moja(nimebadilisha, sio 5 tena, sijasahau). Sasa una gari mbili na 4M. Chukua pikipiki 2 pia unabaki na 1M. Zile gari weka Uber dereva akuletee 30,000 kwa siku kila gari basi utakuwa na 21,900,000 mwisho wa mwaka. Pikipiki fanya kama ya mwanza kwa hizi mbili utakuwa na 8,120,000, dukani utakuwa na 10,000,000 na bank utakuwa na 1,800,000, basi jumla ni 41,820,000.
.
Au nunua bando nitukane, ni wewe tu [emoji5]
Ingekuwa rahisi hivyo kila mtu angekuwa bilionea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom