SYLLOGIST!
JF-Expert Member
- Dec 28, 2007
- 8,189
- 7,853
Haijalishi weee hapa tunazunguzmia Mfyooonyo yaani unasikia mfyuuuuu mtu katoa yake na imevutwa kama mpira wa manati, yaani inaanza mbali na ikimalizika lazima utaona cha mtema kuni😂
🤪Wee acha tu
enzi hizo njuga ilikuwa kiatu chochote oversize, kimejaa vumbi, kina soli orijino,kina soli ya ngozi, bati,na raba mtoni chini na imegandishwa na gundi ya iliyotengenezwa kwa fundi(mchanganyiko wa petroli na styroform)na kishashonwa mpaka fundi viatu akikuona walahi anafunga duka, yaani hataki hata kupoteza nyuzi au soli au gundi nyingine kuongezea na kupoteza mda wake! hata ukiwa na gobole au dala ngapi Na usiombe ukatwe mtama na njuga hiyo! weee Mfyuuuuuuuuu
#kitufechamfyonyoMfyuuu
🤪Wee acha tu
ngoja nikuvalie njuga.... qqmmk mfyuuuuuu😂Basi unasikia ' unajifanya mjanja sio mfyuuuuuuuuuuuu
enzi hizo njuga ilikuwa kiatu chochote oversize, kimejaa vumbi, kina soli orijino,kina soli ya ngozi, bati,na raba mtoni chini na imegandishwa na gundi ya iliyotengenezwa kwa fundi(mchanganyiko wa petroli na styroform)na kishashonwa mpaka fundi viatu akikuona walahi anafunga duka, yaani hataki hata kupoteza nyuzi au soli au gundi nyingine kuongezea na kupoteza mda wake! hata ukiwa na gobole au dala ngapi Na usiombe ukatwe mtama na njuga hiyo! weee Mfyuuuuuuuuu
#kitufechamfyonyoMfyuuu
😡🤣😯.....ongeza Mfyoooonyo