Ngoja ninoe kadi yangu ya chama, 2025, tutapambana. Watashindana lakini hawatashinda. Same magharibi nakuja kuwa mkombozi wenu

Ngoja ninoe kadi yangu ya chama, 2025, tutapambana. Watashindana lakini hawatashinda. Same magharibi nakuja kuwa mkombozi wenu

BrownRange

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2020
Posts
927
Reaction score
1,191
Wanaforum poleni na mihangaiko ya weekend.

Nimetafakari kwa kina kwa muda mrefu, nafikiri ni wakati sahihi nikaombe ridhaa kwa chama changu CCM panapo majaliwa niwatumike wana same magharibi. Mi ni damu Changa ya kizazi kipya. Kwa miaka nenda rudi Jimbo hili limekuwa na changamoto zile zile.

Nitaomba ridhaa ya chama mwaka 2025 nipeperushe bendera ili niwe mkombozi wa wananchi wa Jimbo hili.

Nina nia, uthubutu na uwezo wa kuleta mabadiliko.

Asante sana
 
Wanaforum poleni na mihangaiko ya weekend.

Nimetafakari kwa kina kwa muda mrefu, nafikiri ni wakati sahihi nikaombe ridhaa kwa chama changu CCM panapo majaliwa niwatumike wana same magharibi. Mi ni damu Changa ya kizazi kipya. Kwa miaka nenda rudi Jimbo hili limekuwa na changamoto zile zile.

Nitaomba ridhaa ya chama mwaka 2025 nipeperushe bendera ili niwe mkombozi wa wananchi wa Jimbo hili.

Nina nia, uthubutu na uwezo wa kuleta mabadiliko.

Asante sana
Kwakua kwa makusudi umeamua kukiuka utaratibu wa chama kwa kutangaza nia na kuanza kampeni kabla ya wakati lakini pia angali bado kuna Mbunge yupo kazini jimboni. Kwa huruma tutakata jina lako na utapata alama 'D'.
 
Kwakua kwa makusudi umeamua kukiuka utaratibu wa chama kwa kutangaza nia na kuanza kampeni kabla ya wakati lakini pia angali bado kuna Mbunge yupo kazini jimboni. Kwa huruma tutakata jina lako na utapata alama 'D'.
Asante
 
Wengi walisema kama wewe, lakini wakafeli.

Kama uko serious, bila kujali chama au itikadi, pambana tupate kwanza Katiba Mpya.

Hutofanya chochote chenye tija kwa Taifa kwa Katiba na mfumo wa sasa.
 
Back
Top Bottom