Ngoja niwakumbushe leo

Ngoja niwakumbushe leo

Daaahhh,,, umenipeleka mbaaliii saana Dragoon
Yaani naisoma hio listi huku mwili ukinisisimka
Wakati huo ndio tz mpira ulikua ukichezwa japo ulikua mpira wa ridhaa
Lkn walikua wakijituma na kucheza kwa moyo mmoja
Kweli mkuu. Enzi zile mchazaji anapewa posho tu kwa ajili ya kununua unga nyumbani pindi anapokuwa kambini au safarini. Wachezaji hawakutanguliza pesa mbele, walitanguliza uzalendo na bidii zaidi.
 
Kweli mkuu. Enzi zile mchazaji anapewa posho tu kwa ajili ya kununua unga nyumbani pindi anapokuwa kambini au safarini. Wachezaji hawakutanguliza pesa mbele, walitanguliza uzalendo na bidii zaidi.

Nakubaliana na wewe kabisa
Sio leo hii unakuta mchezaji ana kiwango kidogo tu lkn ana nyodo hasa
Nakumbuka Edibili Lunyamila alisajiliwa na Yanga kwa Sh laki3 tu
Kutoka timu ya Biashara ya Shinyanga mjini..na wakat huo Lunyamila alikua yupo fiti kinooma
 
Mtangazaji mmoja bwana enock bwigane/ konyagi nyingi sana anakunywa huyu jamaa. Ana mapenzi na simba fc kupita kiasi akitangaza mpira anakuwa judgemental yani kumsikiliza ni shiiida
 
Uongozi tbccm, ubadilishie huyju jamaa bwigane/mzee wa viroba/ mabapa majukumu kutangaza mpira hakumfai a
Hasa linapokuja suala la simba
 
Muhammed juma njuguna
Alikua mkenya huyu
 
Wahenga kwenye ubora wetu....
Mmemsahau hayati Ezekiel Malongo mwishoni mwishoni ndio waliofunga dimba akiwa na Juma Mkamia sema daaah huyu kawa bamia inaharibika ukubwani..

Ezekiel Malongo hapa umenena
 
Daudi Salum ,,BRUCE LEE...John Makelele,,, Zig zag..Edward CHUMILA,, edo boy...HAMISI GAGA, ,Gaga rino....Michael paul,,NYLONE..OMAR Salehe,,OMBOPA..
 
Tanzania wachezaji A.K.A kibao lakini Tangu kuumbwa kwa dunia hatujawahi kushika hata namba 3 ya kombe la afrika wala kupata nafasi ya kucheza kombe ladunia lakini utawasikia hao ma A.K.A wenyewe sasa mara enzi zetu soka lilikuwa juu sasa limeporomoka. Hakuna kitu cha namna hiyo kitu ambacho kimewahi angalau kututambulisha kama taifa katika ulimwengu wa michezo ni riadha....tukomae na hilo litatusaidia
Enzi hzo Simba ilicheza fainali kombe LA CAF
 
Tanzania wachezaji A.K.A kibao lakini Tangu kuumbwa kwa dunia hatujawahi kushika hata namba 3 ya kombe la afrika wala kupata nafasi ya kucheza kombe ladunia lakini utawasikia hao ma A.K.A wenyewe sasa mara enzi zetu soka lilikuwa juu sasa limeporomoka. Hakuna kitu cha namna hiyo kitu ambacho kimewahi angalau kututambulisha kama taifa katika ulimwengu wa michezo ni riadha....tukomae na hilo litatusaidia
Enzi hizo hata taiga stars ilikuwa NA uwezo Wa kwenda kuchukua kombe LA challenge ugenini. Leo hii Malawi wanatubabaisha nyumbani!
 
lunyamila lunyamila anapiga chenga ya kwanza anapiga chenga ya pili anapiga chenga ya tatu anapiga chenga ya nne anampiga chenga masatu hapa aaah goooooooool mwameja anadaka hewa hapa ahahaaa wasikilizaji yanga 2 simba 0 hapa ccm kirumba!!
 
Back
Top Bottom