Wewe mbona ni mzuri na una mvuto wa aina yakeHapo ndo ataingia pabaya chura hamna sura ya mzee plus ufupi 😂😂kama kiroba Cha pembejeo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mbona ni mzuri na una mvuto wa aina yakeHapo ndo ataingia pabaya chura hamna sura ya mzee plus ufupi 😂😂kama kiroba Cha pembejeo
Mbona mnaogopa ku like??
Nairudisha mamaDuh mbona umechange avatar
Ile ya mwanzo ilikuwa supper
Mimi hapa, nimebukiwa tayari😘
Mwanaume rijali unaanzaje kuuliza swali kama hilo? kweli tunazidi kupungua, mtoto mzuri juu pako presentable, mweupe na umbo la wastani alike nimtunuku ndoa.Vipi kama wanaolike ni jinsi yako
Yeah love,nilitaka uwepo hapa😘😘Babe naona umeniita💋
Wapi mkuu habari za kusadikika tu izoWewe mbona ni mzuri na una mvuto wa aina yake
Mie na wewe hatunaga shidaa... nimetuma na dogo akuletee mihogo 😅😅View attachment 2539090
😊😊😊 na ugari je aunt yangu .. nimfungie na visamaki na maziwa mtindiSanto sana mjomba Mihogo na chachandu au kachumbari mjomba fanya nipate kuisindikizia na kinywaji mjomba kavukavu inakaba sana😊😊!
SophyWapi mkuu habari za kusadikika tu izo
Niambie mzimaSophy
Unaijua[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wana shida gan?
Hapana nimeona kwenye lile jukwaa la selfika upo poa kabisa unavutia haswaWapi mkuu habari za kusadikika tu izo
Aisee njaa imeuma ghafla😊😊😊 na ugari je aunt yangu .. nimfungie na visamaki na maziwa mtindi View attachment 2539133