Wewe mbona ni mzuri na una mvuto wa aina yakeHapo ndo ataingia pabaya chura hamna sura ya mzee plus ufupi ππkama kiroba Cha pembejeo
Mbona mnaogopa ku like??
Nairudisha mamaDuh mbona umechange avatar
Ile ya mwanzo ilikuwa supper
Mimi hapa, nimebukiwa tayariπ
Mwanaume rijali unaanzaje kuuliza swali kama hilo? kweli tunazidi kupungua, mtoto mzuri juu pako presentable, mweupe na umbo la wastani alike nimtunuku ndoa.Vipi kama wanaolike ni jinsi yako
Yeah love,nilitaka uwepo hapaππBabe naona umeniitaπ
Wapi mkuu habari za kusadikika tu izoWewe mbona ni mzuri na una mvuto wa aina yake
Mie na wewe hatunaga shidaa... nimetuma na dogo akuletee mihogo π π View attachment 2539090
πππ na ugari je aunt yangu .. nimfungie na visamaki na maziwa mtindiSanto sana mjomba Mihogo na chachandu au kachumbari mjomba fanya nipate kuisindikizia na kinywaji mjomba kavukavu inakaba sanaππ!
SophyWapi mkuu habari za kusadikika tu izo
Niambie mzimaSophy
Unaijua[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wana shida gan?
Hapana nimeona kwenye lile jukwaa la selfika upo poa kabisa unavutia haswaWapi mkuu habari za kusadikika tu izo
Aisee njaa imeuma ghaflaπππ na ugari je aunt yangu .. nimfungie na visamaki na maziwa mtindi View attachment 2539133