Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Nilijiunga JF kwa sababu hio,kuna enzi nilikua napatikana nyuzi za mapambano zaidi. Kwangu fujo za mtandaoni ni burudani ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐ŸคฃMaongezi ya PM hayana ladha,watu wanakua wapole sana pande zile
Hujabahatika kichaa kama mimi?๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Jiachie rafiki yangu furaha unayo wewe ukijua utakacho na usichotaka๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Haya maisha ya mtandaoni tu,najiachia kwa style ya kujihami dull burudani
Hujabahatika kichaa kama mimi?๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Jiachie rafiki yangu furaha unayo wewe ukijua utakacho na usichotaka๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Nilijiunga JF kwa sababu hio,kuna enzi nilikua napatikana nyuzi za mapambano zaidi. Kwangu fujo za mtandaoni ni burudani ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐ŸคฃMaongezi ya PM hayana ladha,watu wanakua wapole sana pande zile
Nawe usiwe mtata sana wewe wa kike ujue๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ