๐๐๐kitaeleweka tuNiko occupied ๐
Hujabahatika kichaa kama mimi?๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃNilijiunga JF kwa sababu hio,kuna enzi nilikua napatikana nyuzi za mapambano zaidi. Kwangu fujo za mtandaoni ni burudani ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃMaongezi ya PM hayana ladha,watu wanakua wapole sana pande zile
Anaongea tu hatakutana na mwamba atasahau hata kama aliwahi kuwa na mutu๐๐๐๐kitaeleweka tu
Kwani umeshitakiwa?๐คฃNimefanyaje tena ๐๐ผโโ๏ธ
Mchagua jembe si mkulimaSisi wenye sura mbovu na shepu za akina ashaboko sijui itakuwaje
[/QUMchaMchaf
Endeleeni kujitaja wote tujue status zenu kiranja wa zamu niko hapa๐คฃTaken ๐๐
Hujabahatika kichaa kama mimi?๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Jiachie rafiki yangu furaha unayo wewe ukijua utakacho na usichotaka๐๐
Nawe usiwe mtata sana wewe wa kike ujue๐Nilijiunga JF kwa sababu hio,kuna enzi nilikua napatikana nyuzi za mapambano zaidi. Kwangu fujo za mtandaoni ni burudani ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃMaongezi ya PM hayana ladha,watu wanakua wapole sana pande zile
Kwa taarifa yako napendelea watata kama wewe bahati yako umejifungia๐คฃHaya maisha ya mtandaoni tu,najiachia kwa style ya kujihami dull burudani
Like basi hata na wewe unayetafuta tafuta alafu huko inbox tutajua chakufanyaWatu wako inbox kimya kimya wanatuma salamu
Ya kwako ya zamani ni ipi mkuu๐Unataka kuwekwa kwa bango au ๐๐๐? Privacy ni muhimu ndio maana watoto wanazikimbia ID zao za zamani kila siku humu.
Kwani umeshitakiwa?๐คฃ
Sitarajii uwe hukubukiwa...meza zinapinduka tu๐Mimi hapa, nimebukiwa tayari๐
Enjoy mrembo hakuna baya huku ee๐๐๐
๐๐ ndio dada๐๐๐kitaeleweka tu