Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Nilijiunga JF kwa sababu hio,kuna enzi nilikua napatikana nyuzi za mapambano zaidi. Kwangu fujo za mtandaoni ni burudani 🤣🤣🤣🤣Maongezi ya PM hayana ladha,watu wanakua wapole sana pande zile
Hujabahatika kichaa kama mimi?🤣🤣🤣🤣
Jiachie rafiki yangu furaha unayo wewe ukijua utakacho na usichotaka😂😂
 
Haya maisha ya mtandaoni tu,najiachia kwa style ya kujihami dull burudani
Hujabahatika kichaa kama mimi?🤣🤣🤣🤣
Jiachie rafiki yangu furaha unayo wewe ukijua utakacho na usichotaka😂😂
 
Nilijiunga JF kwa sababu hio,kuna enzi nilikua napatikana nyuzi za mapambano zaidi. Kwangu fujo za mtandaoni ni burudani 🤣🤣🤣🤣Maongezi ya PM hayana ladha,watu wanakua wapole sana pande zile
Nawe usiwe mtata sana wewe wa kike ujue😂
 
Back
Top Bottom