Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Hahahah naingoja hio 40 kwani ukiangalia zimebakia ngapi nianze tizi kabisa 😀 yasije kunikuta ya Manyuu na livakuku
🤣🤣🤣🤣🤣
Utakuwa una like tu unapita
Maana wanaume wa jf akikutaka au mkishakulana nguvu ya kuku QUOTE hana kabisa ana kazi ya ku like tuu
 
🤣🤣🤣🤣🤣
Utakuwa una like tu unapita
Maana wanaume wa jf akikutaka au mkishakulana nguvu ya kuku QUOTE hana kabisa ana kazi ya ku like tuu
Hahahahahah kulana na jf ni vitu viwili separate...Life goes on kama kawa
 
Vijana tumepewa mbinu, tuache tabia ya kupekecha Ukuni.

Mimi mwenyewe natafuta Binti kutoka JF!

Nimeambiwa wengi wao wana matumbo flat na upstairs wapo okay, kasoro member mmoja tu yule kichwani ni Sifuri kabisa.
 
Unataka kuwekwa kwa bango au 😀😀😀? Privacy ni muhimu ndio maana watoto wanazikimbia ID zao za zamani kila siku humu.
Raha ya kulana muwekane mabango buanah
Na ukishawekwa bango unamjua mke mwenzako au mume mwenzako mnabaki kupigana vikumbo tu kwenye kordo za jf
 
Back
Top Bottom