Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😀😀😀😀😀😀 Kumbe ndio hivyo mnapendaga... Kazi nyepesi sanaRaha ya kulana muwekane mabango buanah
Na ukishawekwa bango unamjua mke mwenzako au mume mwenzako mnabaki kupigana vikumbo tu kwenye kordo za jf
Wewe ni mzungu Sana,Mimi nakukubali kinyama Yani. Ila pm nitakuja kukusalimia tu. 😀Sisi wenye sura mbovu na shepu za akina ashaboko sijui itakuwaje
Usijali ngoja nikachukue nondo kwa zamaradi master of billboard games😀Penzi la kimya kimya halinogii
Kamalize mzee😀Wewe ni mzungu Sana,Mimi nakukubali kinyama Yani. Ila pm nitakuja kutusalimia tu. 😀
Mbona uzi upo speeed sana
🤣🤣🤣🤣🤣 Neema za awamu ya 6 hizi...Uje unioneshe njonjo zako mwanakwetu.Fanya yote ila 40 yajaa
Niunganishie basi kwa sophy27 huyu mrembo namzimikia sana tuu ikiwezekana nimuoe kabisa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Waarabu wa pemba
Ahahaha,mkuu huyu Chakorii ni sister wangu wa damu kabisa.Siwezi zama pm kumvunjia heshima.Kamalize mzee😀
Mambo ya kiofisi hayo tunazungumzia ofisini😀😀😀Haha kwani ww huna njonjo?