Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Humu nu kugumu kama jalalani tu 😅 😅 😅Hahaha sagura mwenyewe hapo
Hujasoma shuhuda za watu za kukutana na vitu wasivyotegemea alafu kuna mchawi anaitwa filter ukigonga hiyo kama mzungu
We nawe jikaze bwana mbona unakuwa lege hvoo
Umenitia moyo sana naamini nitabarikiwa sana leoNime like mkuu
hahaha unavituko kweli we binti😅😅😅😅😅
Leta cement na tofalii
Avatar na ID yangu ziko poa ????au zinaboa ???Hata angejiita tu captain still inge sound palatable...na avatar pia abadili
Nakadori mbona mm nishalike sana comment zako upo kimya tuYani jamii forums ina watu zaidi ya 500000 unakosaje hata wa kukudanganya danganya.
Sasa we andika comment yako halafu atakayelike comment yako au utakayevutiwa naye mfwate inbox anzeni kuwasiliana hadi pale mtakapofikia. Hata waki like 10 utachuja mbele kwa mbele makapi na ngano. Vigezo na masharti mtazingatia.
Msisahau kuleta mrejesho hapa matokeo ya hii fellowship...
mzabzab swahiba wangu wa ukweliii changamka upate mke uoe nipikiwe pilau mimi WiFi mwenye mdomo wake mjini.
Unique Flower kiboko ya vibabu changamka figa moja haliinjiki chungu ujue.
Me niko pale nawazoom.
Ngoja niingie TRA nikakadiriwe.
Nimeuliza mkuu si kwa ubaya😬