Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Ngoja niwasaidie mpate partners kirahisi

Nakuhakikishia huyu Nakadori fanya ubebe mkuu hii chombo haina kelele sema hakikisha yule ankoli wake kafa..[emoji23][emoji23][emoji23]

Umejuaje Mkuu ? Hii Chombo ina akili nyingi sana na ina discpline sana inapokuja kwenye ishu ya mipango ya maisha, Sema ni pasua kichwa sana huwa haitabiriki kabisa lakini She is the among worlds real Woman.
Kwako Miss Nakadori 😂😂😂
 
Umejuaje Mkuu ? Hii Chombo ina akili nyingi sana na ina discpline sana inapokuja kwenye ishu ya mipango ya maisha, Sema ni pasua kichwa sana huwa haitabiriki kabisa lakini She is the among worlds real Woman.
Kwako Miss Nakadori 😂😂😂
Dah hizi sifa zote zangu at eehh
Glenn ni ya kweli haya?? Sio sifa zimeongezwa??
 
Umejuaje Mkuu ? Hii Chombo ina akili nyingi sana na ina discpline sana inapokuja kwenye ishu ya mipango ya maisha, Sema ni pasua kichwa sana huwa haitabiriki kabisa lakini She is the among worlds real Woman.
Kwako Miss Nakadori [emoji23][emoji23][emoji23]
Najuaje tena [emoji23][emoji23] au umenisahau
Kuloga ni suna yakhee...
Akikushinda niambie faili lake ninalo..
Nitafurahi ukibeba hiyo pisi kwanza unaanza 0:0
 
Back
Top Bottom