Ngololo style ya Diamond ndo habari ya town saiv

heaven on desert

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2013
Posts
1,025
Reaction score
393
Richa ya wimbo mpya wa diamond kupendwa na wengi lakin kuna Stayle inayochezwa ndani ya video mpya ya my number 1..i dancin style mpya aliyoibuni Diamond mwenyewe n style ambayo imetokea kupendwa na wengi ambapo saiv watu wanajirecod clip na kuziweka on social media na hivi karibuni kuna competition inakuja wale watakaomudu kuicheza vizuri
 

mi huo uandishi wako ndo unanipa tabu sasa sijui ungekuwa unaandaka kwa pen ingekuwaje!???
 
Eh ai oooh...apana chezea diamond...its a town hit now
 
samahani lakini, hivi dimond anakulipa kama wale wa buku 7 lumumba?
 
samahani lakini, hivi dimond anakulipa kama wale wa buku 7 lumumba?

diamond anaendesha music wake kisasa kuliko mnavyofikilia..hafanyi kila kitu peke yake..na WASAFI siyo jina tu kajiitia..ile ni kampuni watu tumeajiliwa pale kila mtu ana kitengo chake kuwezesha msic wake uendelee kusonga na nina mshahara mkubwa pengine kuliko wewe unaepiga domo hum..na kupost habari za naseeb hum napost kwa matakwa yangu coz cwez kuacha kuandika habari za boss wangu nipost habri za timburo or nani cjui....
 
Ni style nzuri,ila ukisema amebuni mwenyewe sitakubaliana kwasababu kama ulikuwa mfuatiliaji mzuri wa BBA thechase utagundua amec0py and paste,angalia clip za p0kell0,Angel0,Bimp,Baselly walivy0kuwa wakicheza nd0 utagundua.ni vizuri kuchukua style ambay0 watu bad0 hawajaiz0ea.
 

watanzania bana so unanibishia wakati tulikuwa sote akiifanyia mazoez yeye na dancers..bora ungesema zimefanana..mwwnyewe alikuwa hafuatilii hta hiyo bba.mwishowe mtasema hadi hizo pesa za shooting siyo zake kamwibia mtu..bongo bana
 
Mkuu naona umelipwa kumfanyia promo coz hii mara ya pili naona unapost kuhusu Diamond na wimbo wake, nakushauri upeleke hii post kule jukwaa la matangazo. OMBI tuna omba ushahidi wa hizo video wanazojirekodi watu ili tuamini( ni vizuri zikiwa more than 50) hapo utaaminika other wise, MSALIMIE SANA NA MWAMBIE MUWE MNALIPIA MATANGAZO, MSIKWEPE KODI
 

ngoja nikusahihishe,siyo mara ya pili ni mara ya 1000 .cmpigii promo bali naandika habari zake iwe nalipwa clipwi haikuhusu..afu unavyosema hizo video hujaziona kwa hiyo weqe zaid ya jf hakuna social network zingine unazotembelea?ok tembelea acount yaje ya instagram n fb utaziona.
 
watanzania bana so unanibishia wakati tulikuwa sote akiifanyia mazoez yeye na dancers..bora ungesema zimefanana..mwwnyewe alikuwa hafuatilii hta hiyo bba.mwishowe mtasema hadi hizo pesa za shooting siyo zake kamwibia mtu..bongo bana

Mkuu mb0na umet0ka p0vu kama umepewa bundle la bure,nikikuuliza ameanza lini kijifunza hiy0 style utasema nini?halafu maajabu utasema hata wakati wa kutunga mashairi ulikuwa nae...ndi0 tulivy0 wa b0ng0!!!!
 

achana nao bhana.! Waache waendelee kuhate mpaka siku wafe kwa kiungulia.!
 
Hahahahhahahahaha acha shobo mwanaume huyo diamond ndo nani kwanza...

Regards,
Jonathan.
 

Ayayayaaaa kwa muktadha huu team buku 7 na kati ya rumumba mmepata mshindani. Ritz and the like of hamy D mmemsoma dugu huyu.?!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…