Ngololo style ya Diamond ndo habari ya town saiv

Azonto mwanzo mwisho!
 
Nitarudi baadae.:A S 576:
 
Profesa J aliwahi kusema tunawavika watu mataji kwa nyimbo za tafsiri,ndicho kinachofanyika Tanzania kwa sasa hawa wasanii wanatafsiri nyimbo za wanigeria na wasauzi
 
Koma kutuharibia lugha yetu kwa haraka ya kupost vitu vyako vya kipuuz hapa jamvini, au wewe Mura!

acha hizo wewe!!! kwa hiyo umeona sie wa musoma ndio wa kushindwa tu matumizi ya l na r ? mkuu Nyanidume jiheshimu!
 
Last edited by a moderator:
heaven on desert Nina mashaka na uraia wako sio muhamiaji haramu wewe? Vipi kiswahili kikushinde namna hii licha yakurekebishwa mara kadhaa?
 
Last edited by a moderator:

Kiongozi, hiyo style sio mpya ila imepewa jina jipya, inaitwa azonto, ina asili ya Ghana/Nigeria , wapwa wangu kutoka Ghana wamekuwa wakiicheza kwa mda mrefu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…