Hasa Salehe Jembe.Daah magazeti ya bongo huwa wanatoa wapi habar zao za michezo? Tuliaminishwa Ngoma kasajiliwa Simba kumbe udaku tu ili wauze magazeti. Sitoyaamini tena.
Umemsahau Chirwa ..Kila la kheri kwake, kwahiyo pale Yebo pale mbele wamebaki Tambwe na Ajibu, Ngasa vipi kabaniwa?
Hili Gazeti limekuwa la hovyo kweli kweli.Hasa Salehe Jembe.
Anajua kubuni habari auze gazeti la Champion
kwani alikuwa mchezaji wa Simba?Aliyeachwa kwenye mataa ni simba yanga wala haikuwa na mpango na huyo ngoma