Ngoma droo, Ruby naye apata mimba, kigogo anahusika

Ngoma droo, Ruby naye apata mimba, kigogo anahusika

Baada ya wiki iliokuwa ya moto kwa wasanii kurushiana maneno kwenye mitandao ya kijamii, kati ya msanii ruby na king kiba. Hatimaye maneno hayo yamechukua sura nyingine wiki hii

Habari kutoka watu wa karibu wa King wamedai mbwa huyo anayekwenda kwa jina la Ruby inasemakana amepata mimba huku mbwa dume anayeitwa Kigogo kutoka nyumba ya pili kutajwa kama mhusika wa mimba hiyo.

images


Huu unakuwa mfululizo wa mbwa wa mastaa kupata mimba baada ya mbwa wa Wema anayeitwa Fifi kupata mimba mwezi uliopita huku yule wa Shilole anyeitwa Nuh kupata wiki mbili zilizopita.

Tulipojaribu kumpigia simu msanii Ruby ili kupata maoni yake kuhusu rafiki yake wa jina lake kupata mimba alisema anamtakia kila la kheri katika safari yake ya kuwa mama.

Mpaka tunaingia mitamboni familia ya King walikuwa wanamfuatilia Kigogo kuona kama anaweza kutoa mchango wowote kwa watoto wao yeye na ruby.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Yaani nmeufungua Uzi kwa hamu kubwa nikitama kujua kuwa ni jamaa gani aliyetundika mimba ruby. Kumbe hats huyo ruby ni jibwa la kiba ! Shenz* type....
 
Hivi esma anashindwa kupanga hata chumba na sebule, hana kazi?
Si alikuwaga na duka la nguo?Huyu nae aliuparamia udada wa mjini sana,kipindi kile kabla hajaolewa na huyo Petit Man alikuwa mzuri masikini sasa hivi kazeeka kama nini!
Halafu asivyo na akili ya kutumia umaarufu wa kaka yake kama fursa amekaa tu kazi kupishana milangoni na kwenye swimming pool na Zari huko madale....WTF?
 
Si alikuwaga na duka la nguo?Huyu nae aliuparamia udada wa mjini sana,kipindi kile kabla hajaolewa na huyo Petit Man alikuwa mzuri masikini sasa hivi kazeeka kama nini!
Halafu asivyo na akili ya kutumia umaarufu wa kaka yake kama fursa amekaa tu kazi kupishana milangoni na kwenye swimming pool na Zari huko madale....WTF?
Ha ha ha ha ha anajikuta naye Bosslady wa madale
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Yaani nmeufungua Uzi kwa hamu kubwa nikitama kujua kuwa ni jamaa gani aliyetundika mimba ruby. Kumbe hats huyo ruby ni jibwa la kiba ! Shenz* type....
Ha..haa..haaa Msaga sumu balaa
 
Mupenzi Evelyn Salt nimetafakari lile jambo sijapata jibu.
Ila mbongo muvi mwenye mimba kwa sasa tofauti na Wema nasikia ni Kajala.
Uwoya sidhani kama ana mimba,hata hivyo tusubiri tu,time will tell au yatajulikana tu.
Nimechekaje vichambo vya mama Tiffah?
Na Esma je?
Na Idriss alivyombana Wema?Uwiiiiiii eti Petit Man akatafute kazi ya kufanya....
Nifani isn't you in your avatar?

swissme
 
kwa hiyo makampuni 3 yameingia mkataba na RUBY si mchezo.

swissme
 
Baada ya wiki iliokuwa ya moto kwa wasanii kurushiana maneno kwenye mitandao ya kijamii, kati ya msanii ruby na king kiba. Hatimaye maneno hayo yamechukua sura nyingine wiki hii

Habari kutoka watu wa karibu wa King wamedai mbwa huyo anayekwenda kwa jina la Ruby inasemakana amepata mimba huku mbwa dume anayeitwa Kigogo kutoka nyumba ya pili kutajwa kama mhusika wa mimba hiyo.

images


Huu unakuwa mfululizo wa mbwa wa mastaa kupata mimba baada ya mbwa wa Wema anayeitwa Fifi kupata mimba mwezi uliopita huku yule wa Shilole anyeitwa Nuh kupata wiki mbili zilizopita.

Tulipojaribu kumpigia simu msanii Ruby ili kupata maoni yake kuhusu rafiki yake wa jina lake kupata mimba alisema anamtakia kila la kheri katika safari yake ya kuwa mama.

Mpaka tunaingia mitamboni familia ya King walikuwa wanamfuatilia Kigogo kuona kama anaweza kutoa mchango wowote kwa watoto wao yeye na ruby.

halafu hiyo picha ya huyo dog kama vile inataka kumfanana kikwelikweli!
 
Nikiwa na mbwa ntachagua jina la mtu humu humu jf nadhani naniliu
 
Teh Teh hii ya Rubby inaweza kumfanya atake kujiua...
 
Back
Top Bottom