Ngoma hizo Ramadhani??

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363

Rais Jakaya Kikwete akizungumza na Rais wa Libya, Muammar Gadafi (kulia) wakati wa maonyesho ya sanaa na ngoma alizowaandalia wakuu wa nchi za Umoja wa Afrika (AU) baada ya kikao chao cha siku moja kilichofanyika juzi katika Mji wa Tripoli nchini humo kuzungumzia usalama barani Afrika.
 

...wallahi yakhe, duuh! Good observation!

Angeahirisha hili tamasha mpaka baada ya mfungo ingekuwaje? double standards kweli huyu jamaa...
Ramadhan mchana, usiku aaaaaah!....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…