donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
- Thread starter
-
- #21
Sure mkuu, jamaa haniangushagi kabisaVideo nimeiona nzuri ,lkn sijajua yule Waziri kijana wa kike toleo la zamani na BASATA watasemaje manake pale kwenye swimming pool kuna weza kukamponza jux,ila jamaa yupo vizuri ,video na audio zote nzuri
Good questionkwahiyo mond nyimbo zake zimepenya kwenye soko la marekani ??
Umetulia mkuuSafi wimbo fresh
Unaharibu jina, sio Naseeb, ni NasibMkuu kweli ngeli ya jux vuitton utalinganisha na ya naseeb?
Hiyo ni kwamujibu wake mwenyeweUnaharibu jina, sio Naseeb, ni Nasib
Kwahiyo kama angetukana na wewe ungetukana? Kuwa na utashi wako mwenyewe na sii kufata utashi wa watu, utapoteaHiyo ni kwamujibu wake mwenyewe
Mkuu, kama yeye kwenye profiles zake anajiita Naseeb, shida nini?Kwahiyo kama angetukana na wewe ungetukana? Kuwa na utashi wako mwenyewe na sii kufata utashi wa watu, utapotea
Mziki anaoimba Jux uko nje ushasikika sana sasa ivi watu wanataka kuckia something new mziki flan km Afro Pop ivi izi RnB ukiangalia hata nje wanoimba ni wachache most people wanasikiliza mziki wa Rock na PopMi huwa nashangaa sana kwa tz kwanini msanii anayeimba vizuri nakutoa music mzuri hawaendi kimataifa,
Bali hawa wanaomba manyimbo hata hayana ladha eti ndio wanaonekana waimbaji wazuri,
Jux ni muimbaji mzuri na nyimbo zake ni nzuri karibu zote na hajaiba beat kama wawengine wanavyo fanya, ila sijui kwanini haendi juu kama wengine, nadhani jamaa anaudai music kwakweli, maana ameutendea haki kabisa toka ameanza kuimba