Ngoma ngumu kwa Mamelody, washusha kiingilio. Injinia awashika pabaya

Ngoma ngumu kwa Mamelody, washusha kiingilio. Injinia awashika pabaya

LIKUD

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2012
Posts
18,037
Reaction score
33,681
Mwanzoni Mamelody waliweka kiingilio Rands 20 .

Then Injinia wa mpira, Hersi Said akatangaza kiingilio bure kwa kila shabiki wa Yanga atakae ingia uwanjani loftus kuwaspoti Yanga ( umewekwa utaratibu wa kuwalipia mashabiki wote wa Yanga watakao ingia uwanjani leo)

Mamelody wametangaza kushusha kiingilio na sasa imekuwa Rands 10.

Ni wazi kuwa wameshusha kiingilio baada ya kuona muitikio mdogo huku Yanga wakionekana kuzidi kupata sapoti kubwa kutoka kwa:

1. Mashabiki wa Yanga ( mabaharia wanao ishi Dizonga ambao wapo wengi sana)


2. Mashabiki wa Yanga kutoka Dsm( waliolipiwa na serikali) pamoja na wengine walio enda wao kama wao kutoka sehemu mbalimbali Tanzania huku wengi wao wakitoka Mbeya.

3. Mashabiki wa Kaizer Chiefs ambao wanakuja kulipa fadhili za mashabiki wa Yanga walivyo wasapoti kwenye mechi yao dhidi ya Taifa Lupaso.


4. Mashabiki wa the Pirates

Leo Soweto yote ni kijani na njano ya Yanga. Bahati nzuri kutoka Joburg hadi Pretoria ni kama Dar na kibaha ( only one hour )


Halla Young Africans
 

Attachments

  • 1712327274264.jpg
    1712327274264.jpg
    330.6 KB · Views: 2
Mwanzoni Mamelody waliweka kiingilio Rands 20 .

Then Injinia wa mpira, Hersi Said akatangaza kiingilio bure kwa kila shabiki wa Yanga atakae ingia uwanjani loftus kuwaspoti Yanga ( umewekwa utaratibu wa kuwalipia mashabiki wote wa Yanga watakao ingia uwanjani leo)

Mamelody wametangaza kushusha kiingilio na sasa imekuwa Rands 10.

Ni wazi kuwa wameshusha kiingilio baada ya kuona muitikio mdogo huku Yanga wakionekana kuzidi kupata sapoti kubwa kutoka kwa:

1. Mashabiki wa Yanga ( mabaharia wanao ishi Dizonga ambao wapo wengi sana)


2. Mashabiki wa Yanga kutoka Dsm( waliolipiwa na serikali) pamoja na wengine walio enda wao kama wao kutoka sehemu mbalimbali Tanzania huku wengi wao wakitoka Mbeya.

3. Mashabiki wa Kaizer Chiefs ambao wanakuja kulipa fadhili za mashabiki wa Yanga walivyo wasapoti kwenye mechi yao dhidi ya Taifa Lupaso.


4. Mashabiki wa Lupaso.


Leo Soweto yote ni kijani na njano ya Yanga. Bahati nzuri kutoka Joburg hadi Pretoria ni kama Dar na kibaha ( only one hour )


Halla Young Africans
mamelodi hainaga mashabiki, nakumbuka kuna wakati sikumbiki yalikua mashindano gani kiingilio ilikua Free but mashabiki hawakuwepo vilevile 🤣
 
Mwanzoni Mamelody waliweka kiingilio Rands 20 .

Then Injinia wa mpira, Hersi Said akatangaza kiingilio bure kwa kila shabiki wa Yanga atakae ingia uwanjani loftus kuwaspoti Yanga ( umewekwa utaratibu wa kuwalipia mashabiki wote wa Yanga watakao ingia uwanjani leo)

Mamelody wametangaza kushusha kiingilio na sasa imekuwa Rands 10.

Ni wazi kuwa wameshusha kiingilio baada ya kuona muitikio mdogo huku Yanga wakionekana kuzidi kupata sapoti kubwa kutoka kwa:

1. Mashabiki wa Yanga ( mabaharia wanao ishi Dizonga ambao wapo wengi sana)


2. Mashabiki wa Yanga kutoka Dsm( waliolipiwa na serikali) pamoja na wengine walio enda wao kama wao kutoka sehemu mbalimbali Tanzania huku wengi wao wakitoka Mbeya.

3. Mashabiki wa Kaizer Chiefs ambao wanakuja kulipa fadhili za mashabiki wa Yanga walivyo wasapoti kwenye mechi yao dhidi ya Taifa Lupaso.


4. Mashabiki wa Lupaso.


Leo Soweto yote ni kijani na njano ya Yanga. Bahati nzuri kutoka Joburg hadi Pretoria ni kama Dar na kibaha ( only one hour )


Halla Young Africans
Aahaaaaa

Acha wanyooshwee
 
Hii inaonyesha ni jinsi gani wenzetu uhuru wa kidemokrasia ulivyotamalaki,hakuna vitisho kuwa mwenye kuvaa jezi ya yanga atapelekwa lindela!ni aibu kwetu kuishi kwenye nchi iliyo jaa vitisho,good luck Yanga makes us proud 👏
 
Mwanzoni Mamelody waliweka kiingilio Rands 20 .

Then Injinia wa mpira, Hersi Said akatangaza kiingilio bure kwa kila shabiki wa Yanga atakae ingia uwanjani loftus kuwaspoti Yanga ( umewekwa utaratibu wa kuwalipia mashabiki wote wa Yanga watakao ingia uwanjani leo)

Mamelody wametangaza kushusha kiingilio na sasa imekuwa Rands 10.

Ni wazi kuwa wameshusha kiingilio baada ya kuona muitikio mdogo huku Yanga wakionekana kuzidi kupata sapoti kubwa kutoka kwa:

1. Mashabiki wa Yanga ( mabaharia wanao ishi Dizonga ambao wapo wengi sana)


2. Mashabiki wa Yanga kutoka Dsm( waliolipiwa na serikali) pamoja na wengine walio enda wao kama wao kutoka sehemu mbalimbali Tanzania huku wengi wao wakitoka Mbeya.

3. Mashabiki wa Kaizer Chiefs ambao wanakuja kulipa fadhili za mashabiki wa Yanga walivyo wasapoti kwenye mechi yao dhidi ya Taifa Lupaso.


4. Mashabiki wa the Pirates

Leo Soweto yote ni kijani na njano ya Yanga. Bahati nzuri kutoka Joburg hadi Pretoria ni kama Dar na kibaha ( only one hour )


Halla Young Africans
Yanga na Mamelodi wamekutana wajanja kwa wajanja wote Njano-Kijani.

Wote wanaogopana. Mwazoni mara baada ya droo kupangwa, Yanga iliiogopa sana Mamelodi ndipo wakaanza kampeini ya kujijengea confidence kwa nguvu sana. Ila sasa hivi baada ya mechi ya kwanza kibao kimegeukia kwa Mamemodi ndio wanaonyesha kuigopa sana Yanga.

Leo nilikuwa nasikiliza commentaries za wachambuzi wa mchezo huo kwenye TV moja ya Afrika ya kusini, inaonyesha kuwa mamelodi wanaogopa Stamina, teamwork na kasi ya Yanga. Kwa sasa hivi mbinu yao kubwa ni kuanza mchezo kwa kasi sana na kupata bao moja la harakaharaka halafu walilinde. Wanaonyesha kuwa ikifika dakika 30 hawajapata bao basi wajichukulie wamepteza mchezo kwani wana hofu kuwa huenda hawataweza kuhimili kasi ya Yanga katika kipindi cha pili.
 
Yanga na Mamelodi wamekutana wajanja kwa wajanja wote Njano-Kijani.

Wote wanaogopana. Mwazoni mara baada ya droo kupangwa, Yanga iliiogopa sana Mamelodi ndipo wakaanza kampeini ya kujijengea confidence kwa nguvu sana. Ila sasa hivi baada ya mechi ya kwanza kibao kimegeukia kwa Mamemodi ndio wanaonyesha kuigopa sana Yanga.

Leo nilikuwa nasikiliza commentaries za wachambuzi wa mchezo huo kwenye TV moja ya Afrika ya kusini, inaonyesha kuwa mamelodi wanaogopa Stamina, teamowk na kasi ya Yanga. Kwa sasa hivi mbinu yao kubwa ni kuanza mchezo kwa kasi sana na kupata bao moja la harakaharaka halafu walilinde. Wanaonyesha kuwa ikifika dakika 30 hawajapata bao basi wajichukulie wamepteza mchezo kwani wana hofu kuwa huenda hawataweza kuhimili kasi ya Yanga katika kipindi cha pili.
Yanga kama atafunguka Mamelodi wana kasi zaidi na kwenye kumalizia wakipata nafasi sidhani watazichezea kama Yanga
 
Back
Top Bottom