Ngoma wanazoachia ni dhahiri wanatuambia tulinogeshe bifu lao

Ngoma wanazoachia ni dhahiri wanatuambia tulinogeshe bifu lao

clixus

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2016
Posts
813
Reaction score
628
Kuna artists wawili wakali sana, Ila kwa sasa takribani miezi kadhaa huyu akichia track moja mwenzie atafata soon na vijembe juu

Namuongelea Young lunya na Young killer Kuna vijembe wanatumiana Sana

Kama ulifatlia kitambo utajua, Ila hizi ngoma mbili za mwisho hapa juzi kati ndo mambo yapo moto kabisa

Lunya kwenye announcement freestyle anachana kwamba nitakurudisha walipo kutoa ambapo kila Mara killer husema huwezi nirudisha nilipotoka

Killer anasema hizi habar ziende mpk Hollywood ambapo tunajua lunya anapenda unyamwezi Sana,, mwisho anadiss lunya anavovaa lege especially kwenye video ya announcement

Anaonea mbali zaid na kujua yaliyo nyuma ya hizi diss track ambazo haziko official announced.
 
Lunya na country boy sio marapper wa nchi hii
 
Mzee kvant ulizobugia jana usiku bado hazijaisha mwilini nini?,😜😜
Soma background yangu. Halafu Kama wewe ni wa viwanja vikali niambie hapo wapi?
 

Attachments

  • Screenshot_20201005-100132.png
    Screenshot_20201005-100132.png
    172.1 KB · Views: 3
Shida ni kwamba huyo Lunya anafosi bifu na Msodoki. Na bahati mbaya kwake ni kwamba licha ya promo zote anazopewa na media za bongo, bado ni mwepesi sana kwa Msodoki. Mistari ya Lunya ni milaini mnoo, milaini kama Slay queen
 
Eti Killer mnampambanisha na Lunya,acheni kumkosea heshima huyo Lunya aendelee kupambana na wakina Rapcha
Punchlines za killer za kibabe Sana , mwamba ni mbunifu , na ni ngumu hasa , wimbo wa Rudia, Sinaga swaga remix, sinaga swaga 3, nazielewa sana...style ya lunya mwana hip hop yyte anaweza akaimba
 
Naombeni mnitajie ngoma yoyote kali ya Lunya
 
Kama solo artist hana ngoma kali hata moja, labda kidogo walivyokua wanafanya kazi kama OMG kundi lilimbeba
Kwakweli, maana kila nikimtafuta naona 'freestyle' tu, au ndio ngoma zake anazozitegemea hizo?
 
Back
Top Bottom