Msanii maarufu kutoka Tanzania ameweka record ya aina yake ya kuingiza wimbo wake wa Komasava
ile original kwenye chart za Billboard kama ingizo jipya kwenye chart za nyimbo 50 zenye kufanya vizuri Duniani.
Wimbo huo umekuwa ukifanya vizuri na kupendwa na watu wengi ukiwemo watu maarufu kama Chris Brown, Mwanasoka Pogba, Jason Dorulo, Swalee, French Montana n.k.
Soma Pia: Diamond na Chris Brown waisimaisha dunia na Komasava
Pia umetumika kwenye sehemu tofauti tofauti kwenye ushangiliaji wa team mbalimbali ukiwemo team ya Taifa ya Hispania wakionekana wakicheza wimbo huo.
ile original kwenye chart za Billboard kama ingizo jipya kwenye chart za nyimbo 50 zenye kufanya vizuri Duniani.
Wimbo huo umekuwa ukifanya vizuri na kupendwa na watu wengi ukiwemo watu maarufu kama Chris Brown, Mwanasoka Pogba, Jason Dorulo, Swalee, French Montana n.k.
Soma Pia: Diamond na Chris Brown waisimaisha dunia na Komasava
Pia umetumika kwenye sehemu tofauti tofauti kwenye ushangiliaji wa team mbalimbali ukiwemo team ya Taifa ya Hispania wakionekana wakicheza wimbo huo.