kwa hiyo wametuingiza chaka?
anapambana anastahiliMondi mchukie kwa tabia zake nyingine tu lkn kwenye music hana mpinzani East Africa yote
Nimeangalia hiyo screenshot yao inaonyesha ipo namba 39 ,nimeingia live Hot 100 Billboard nimeangalia katika kiyo position sijaiona nikasearch kwa jina kama iliyoonekana kwa millard napo sijaiona.kwa hiyo wametuingiza chaka?
Ni Billboard U.S afrobeats songs
labda wamelala watu wa billboard wakiamka wataweka tenaNimeangalia hiyo screenshot yao inaonyesha ipo namba 39 ,nimeingia live Hot 100 Billboard nimeangalia katika kiyo position sijaiona nikasearch kwa jina kama iliyoonekana kwa millard napo sijaiona.
Ni Billboard U.S afrobeats songslabda wamelala watu wa billboard wakiamka wataweka tena
Ni Billboard U.S afrobeats songs
Ndio mwanzo wa hatua nzuri hiyo we uliwahi kutegemea kuna siku msanii mkubwa kama christbrown atacheza ngoma ya msanii wa bongoKumbe ni Afrobeats? Nikajua ile yenyewe ambayo wapo kina Kedrick Lamar....Sasa kwa Afro beat mlitegemea asiingie? Kama asingeingia ningeshangaa maana kina Rema wapo.
Soma tena halafu uelewe
Soma tena halafu uelewe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukishakua CHAWA PRO MAX ndivyo inavyokua, unaongozwa na mihemko.View attachment 3063999
Kuna mdau Juu ndiyo amesema ni afro beat ,ila mtoa mada alikuwa hajasema chochote zaidi ya kusema ameweka record ya dunia ndiyo ikabidi nisearch kwenye hot 100.