Ngoma ya navykenzo ft alikiba - lini



Mkuu hebu tujaribu kuwapa moyo wasanii wanojitahidi nje ya Alikiba na Diamond wanaobebwa na mameneja lukuki na support kubwa nyuma yao. Kutoa video quality sio kazi rahisi.

Hii lugha ya wimbo "umebuma" sipendi sana
 
Mkuu hebu tujaribu kuwapa moyo wasanii wanojitahidi nje ya Alikiba na Diamond wanaobebwa na mameneja lukuki na support kubwa nyuma yao. Kutoa video quality sio kazi rahisi.

Hii lugha ya wimbo "umebuma" sipendi sana
Hupendi watu kusema imebuma,Ila wewe tena unapondea wengine kama wanabebwa na mameneja hapo unaona uko sawa! Kàzi nzuri ndio inayomtoa mtu mkuu hata ubebwe vipi hutoboi ng'o
 
Mkuu hebu tujaribu kuwapa moyo wasanii wanojitahidi nje ya Alikiba na Diamond wanaobebwa na mameneja lukuki na support kubwa nyuma yao. Kutoa video quality sio kazi rahisi.

Hii lugha ya wimbo "umebuma" sipendi sana
Labda tunashindwa kuelewana we unazungumzia ubora wa video au ubora wa audio?!

Hujui kuwa audio inaweza kuwa nzuri ila Wimbo ukaenda kuwa mbovu au wa kawaida?!

Sina tatizo nao nawakubali mno tena nawakubali toka Enzi zile hawana kitu wanashuti video za buku jero ngoma kama I just I wanna love u,Moyoni,usinimwage nilikuwa shabiki wao namba moja.

Game,Kamatia chini zilikuwa ni ngoma kali kuliko feeling Good kama unazungumzia video sawa ila kwenye Audio hakukuwa na kitu mule.
 
UMEBUMA!!!!!!!
msilazimishe uwe Hit
million moja sio hoja!
kuna watu wanaweka mziki youtube 36 hours unafika one million...
huwezi fananisha huo wimbo na kamatia chini?!!!??
kiswahili kwanza ,na waimbe vitu vya maana!!!
umarekani mwiingi mpaka wanaharibu!!!
 
Halafu Tabia ya kuponda mziki wetu (Made in Tanzania -singeri)
acheni kabisa!
singeri ndio mziki wa Bongo ...
acheni kuzarau vya kwenu...
mkataa kwao mtumwa! Kama MTU ameweza kuongea kiswahili fasaha huyo ni Mtanzania halisi!!!

Tuanze basi kuona wanatoboa huko majuu
wakapige show at least BET
hapo tutaona wametrend majuu...
Ila Kama hata burundi hawana show Watupishe!!!!!!!!!
 

hapo kwenye red unamaanisha nini hebu tuanzie hapao kwanaza mama
 
kwenye Z weka K
wanaweza/wanaweka
kumbe hujui hata unacho kiongelea so inamaana watu wakiweka mziki 36 hrs ndo unafikisha views 1 milon

hiv unajua maana ya view na jinsi wanavyo count hebu uliza kwanza hili ukishajua ndo urudi hapa
 
kumbe hujui hata unacho kiongelea so inamaana watu wakiweka mziki 36 hrs ndo unafikisha views 1 milon

hiv unajua maana ya view na jinsi wanavyo count hebu uliza kwanza hili ukishajua ndo urudi hapa
wewe ndo hujanielewa nadhani..
nmemaanisha hivi "wewe umeona ni hit song kwasababu lina 1million viewers!
ndio nikakujibu, haijalishi!!! huo wimbo umebuma!
kupigwa nje ya nchi haimaanishi umebamba ,Kama umebamba wapige show ulikobambia! tuone
halafu kuwa na one million viewers sio definition ya kuwa umehit kuna wasanii bongo wanafikisha hio million ndani ya masaa36 , wakina diamond!
kwahiyo sikuhizi one million sio big deal! halafu million yenyewe wimbo Una miezi[emoji23][emoji23][emoji23]! wtf
 
Nyimbo ya feel good ni nzuri kwa upande wangu, ila ni kweli haujafika kwa kamatia chini na game....kusema wamelenga soko la nje wanatudanganya, huwezi ukawa na soko kubwa America alafu hapa kwenu Tz bado ujaliteka soko..
 
Me I don't think so if unaujua vizuri msiki
huitaji kuwa mpishi mzuri kujua kuwa chakula hiki kitamu.
haya mambo ya kama unajua mziki yananichekesha kweli.
Wanaojia mziki ni maproducer, my song writer/composer na sidhani kama ndiyo wamelengwa.
Good music is good music hakuna cha kama unaujua mziki wala nini any one anaweza jua huu mziki mzuri.
 
huu wimbo ni mkali...nareel anajua vyombo......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…