munroe
Senior Member
- Apr 3, 2019
- 108
- 91
Ndugu wadau wafugaji tunatoa huduma ya uuzaji wa ng'ombe wa maziwa wilayani Rungwe mkoani mbeya karibuni kwa ng'ombe aina hizo kwa bei nafuu saana
Tunatoa elimu na ushauri kuhusu ufugaji bora, pia ng'ombe wetu wanastahimili mazingira ya hari ya hewa tofauti ya mikoa yote tanzania
Tutafute kwa namba 0756416149
Namba hiyo WhatsApp pia.
Tunatoa elimu na ushauri kuhusu ufugaji bora, pia ng'ombe wetu wanastahimili mazingira ya hari ya hewa tofauti ya mikoa yote tanzania
- Mitamba ( yenye mimba na isio na mimba)
- Ndama aina zote
- Wa maziwa mpaka Lita 20 kwa siku
Tutafute kwa namba 0756416149
Namba hiyo WhatsApp pia.