Ng'ombe bora wa maziwa aina ya Holstein freisian, Jersey na Ayrshire wanapatikana

Tumeona na tunaendelea kuona. Mara nyingi hua mnaanza hivyo then mtasema atoe advance ndio mnayeya na kwenda kwa mama sirudi. Ni vyema wadau wawe makini na nyie wafanyabiashara wa mtandaoni.
Mkuu ukikutana na watu kama hao jiepushe unatumaje hela hujafika shambani ukaona mfugo, sisi wateja wetu wote wanakuja wenyewe kama sio yeye basi mtu anae mwamini yeye.
 
Ng'ombe wenu ni aina gani boss?
Pia wanakuwa wanazalisha maziwa Kwa muda wa miaka mingapi Hadi kufikia ukomo kingine hizo Lita ishirini ni Kwa mkamuo mmoja au?
 
Ng'ombe wenu ni aina gani boss?
Pia wanakuwa wanazalisha maziwa Kwa muda wa miaka mingapi Hadi kufikia ukomo kingine hizo Lita ishirini ni Kwa mkamuo mmoja au?
Kwenye title ya uzi huu nimetaja aina ya ng'ombe tulio nao
Kwa kawaida ng'ombe wanafika hadi mizao kumi kwahio unaweza zalisha maziwa kwa muda huo na zaidi.
 
Habari mm ni mfugaji Niko Mkata Handeni huku Kuna Hali ya hewanya joto rungwe ni baridi he wanaweza himili HII Hali ya hewa
Vipi kuhusu uhakika wa unachokisema mfano hatoi hizo Lita 15inakuaje maana nahitaji ndama wadogo 10
Mkuu upo mkata sehemu gani naomba uni nipm tubadirishane mawazo kidogo nataka nipambane hapo kwa wazigua..
 
Humu kuna watu wamekuja na wamepata ng'ombe wazuri saana wanaweza kuwa maagent wetu.
Kuna watu hawana hata interest ya ufugaji ndio wanaofikilia upigaji tu sisi hatuhitaji mtu atume hela kabla hajahakiki ng'ombe yake mtu aje shamban akilidhika alipie aondoke na mzigo wake.
 
ndio changamoto za mitandao izo,

mbona hujanijibu swali langu ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…