Ndio ng'ombe wetu wanastahimili vizuri mazingira ya dar na wateja wetu wengi wanatoka huko na mifugo yao inaendelea vizuriJe ng'ombe wenu wanastahimili mazingira ya Dar? Je mfugaji wa Dar mnamshauri afanye nini aki chukua ng'ombe wenu. Mwenye mimba ya miezi 3-6 mnamuuzaje on average
Hilo neno "kama hajapata usimamizi mzuri" special careHapana haumwi ila ng'ombe wenye asili ya maziwa mengi wanakuwa hivyo endapo kama hajapata special care
Kwani ana ule mtambo mkuu wa facebook/meta kwamba anaenda kuzalisha dolari?😂😂Ng'ombe mmoja million 10.
Ndugu uzalishaji wa huyu na yule tofauti yule anafika lita 21 kwa siku ambapo ukimchanganya na huyo ukawapa mahitaji yalio sawa Kuna mmoja ata maintain wakati mwingine atapunguaHilo neno "kama hajapata usimamizi mzuri" special care
Mkuu ng'ombe anaekupa maziwa na faida kwa kukuingizia kipato utamuachaje awe hivyo
Inasikitisha sana ila umesema ukweli
Hebu angalia tofauti hapa kwa huyo na huyu View attachment 2402099
Unafanya makosa. Badala umueleze mteja aridhike kwa maelezo ya kutosha, unamwambia akatafute, yaani unampa mteja kazi ya kutafuta taarifa za bidhaa!!Tutafute kwa namba 0756416149