INAUZWA Ng'ombe bora wa maziwa wanapatikana

INAUZWA Ng'ombe bora wa maziwa wanapatikana

Msidanganywe, hakuna ngombe kutoka mbeya anayeweza kukupa lita 20 kwa siku.

Utapigwa afu utaishia kulia na mavet
Mastitis
Chakula
Etc

Utawakuta pale Ubungo bucha ya nguruwe, wana maneno mengi ya uongo uongo
Kuna watu wengi tu wapo umu jamii forum tumewauzia ng'ombe wa 20 na kuendelea wanaweza dhibitisha hapa!

Kama umekuja rungwe na hajapata ng'ombe wa aina iyo nauli yako nitakurudishia, mpaka wa lita 24 wapo.
 
Unafanya makosa. Badala umueleze mteja aridhike kwa maelezo ya kutosha, unamwambia akatafute, yaani unampa mteja kazi ya kutafuta taarifa za baidhaa
Asante kwa hilo ndugu, Lakin wapo watu humu wa naamini kila kitu ni utapeli na wanakatisha tamaa hata wahitaji
 
Asante kwa hilo ndugu, Lakin wapo watu humu wa naamini kila kitu ni utapeli na wanakatisha tamaa hata wahitaji
Inategemea pia na vile unavyoliwasilisha jambo lako. Unatakiwa ujieleze kipekee ili watu waweze kuona tofauti.
 
Msidanganywe, hakuna ngombe kutoka mbeya anayeweza kukupa lita 20 kwa siku.

Utapigwa afu utaishia kulia na mavet
Mastitis
Chakula
Etc

Utawakuta pale Ubungo bucha ya nguruwe, wana maneno mengi ya uongo uongo
Ndugu mbeya wapo sana tukuyu na busokelo ng'ombe wa lita mpaka 25 ambao mkamuo asubuhi tu 15 jion lt 10 au zaid na hapo ukiwazingatia matunzo 30 anakupa vizur tu

Asas amewekeza ngombe bora kwa kukopesha tu mbegu ya south

Kutembea ni kujifunza
 
Freshian
IMG_20221106_230402_847.jpg
IMG_20221106_230504_345.jpg
 
Kama anatoa lita 20 kwa siku ni hasara,bora angetoa 40 na kuendelea
 
Freshian, mtamba una mimba miezi 7
IMG_20221106_230659_025.jpg
 
Mtamba wa uhakika huo
Tuchek kwa namba 0756416149
IMG_20230318_110317_435.jpg
 
Kwa anae hitaji kuona picha na video za ng'ombe nitafute WhatsApp kwa namba 0756416149
 
Msidanganywe, hakuna ngombe kutoka mbeya anayeweza kukupa lita 20 kwa siku.

Utapigwa afu utaishia kulia na mavet
Mastitis
Chakula
Etc

Utawakuta pale Ubungo bucha ya nguruwe, wana maneno mengi ya uongo uongo
Ranch ya Kitulo wapo Mkuu ila kuuziwa ni mbinde sana.
 
Ranch ya Kitulo wapo Mkuu ila kuuziwa ni mbinde sana.
Ng'ombe hao wapo tena wengi tu tuanawauza wanalita zaidi ya ishirini ila kuna watu hawana interest ya ufugaji Wana duscourage wenzao.
Nitafute WhatsApp kwa namba 0756416149 kwa picha zaidi
 
Wanauzwa
Mbeya Rungwe.
0756416149
IMG_20230430_143830_738.jpg
IMG_20230430_134109_688.jpg
IMG_20230430_134114_686.jpg
 
Back
Top Bottom