- Thread starter
- #21
sana hata juzi wakati wa dry therapy nilitumia.... pia last mastitis attack nilizitumia.View attachment 3079482
umewahi tumia hiyo unaitia kwenye teat
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sana hata juzi wakati wa dry therapy nilitumia.... pia last mastitis attack nilizitumia.View attachment 3079482
umewahi tumia hiyo unaitia kwenye teat
Una mbegu inayotoa matumaini hasa kwenye ukamuaji , upo mkoa Gani , pia mbegu ulipata wapi ya ngombeukiweza fuga upate maziwa, mbolea ..... na kama mfanyakazi upate sehemu ya kutumia muda unapokuwa free
Napata lita kama 15 to 20 a day kwa ngombe mmoja.... fuga wachache uwamudu. I have only three wa kisasa
OK nashukur na hizo DCT bei zake tafadhar zipoje kwa tube 1NDAMA MUACHISHE KUNYONYA MIEZI MIWILI KABLA YA KUZAA.
APPLY DCT: NUNUA TUBES ZA DRY COW THERAPY DCT), NI KAMA KILA TUBE, KILA TEAT WEKA TUBE MOJA.
Nenda dawa za mifug uliza hizo DCT, wao wanazijua...
SCHEDULE YA KUACHA KUMKAMUA IN ORDER TO APPLY DRY COW THERAPY
DAY 1..................ASUBUHI
DAY 2...............ASUBUHI
DAY 3................ASUBUHI NA JIONI
DAY 4................JIONI
DAY 5 ................NIL (USIMKAMUE)
DAY 6.................JIONI
DA 7......................JIONI + DRY COW THERAPY
SIKU ZOTE HIZO ASIPEWE CONCENTRATE
MLISHE KWA DRY GRASSES NA IKIWEZEKANA ASIENDE MACHUNGANI
NB: HII NILIKUWA ADVISED NA DR WA MIFUGO
View attachment 3079852
Nilinunua 6,000 per each, lakini kila sehemu Ina bei zakeOK nashukur na hizo DCT bei zake tafadhar zipoje kwa tube 1
0654 67 5821, Dr Mwashibale huyu atakusaidia sana ni mtaalamu wa mifugo hasa NgombeNina ngombe wa maziwa anasumbuliwa sana na reccurent mastitis. anakamuliwa kama lita 15 a day! tatizo ni nini na tiba yake ni nini?
Nilimfanyia drycow therapy, lakini baada ya kuzaa tu, mastitis hiyo within a week!
Please advise!
Jamaa yupo vizur sana0654 67 5821, Dr Mwashibale huyu atakusaidia sana ni mtaalamu wa mifugo hasa Ngombe
OkNilinunua 6,000 per each, lakini kila sehemu Ina bei zake
asante sana0654 67 5821, Dr Mwashibale huyu atakusaidia sana ni mtaalamu wa mifugo hasa Ngombe
Nimepita Duka la AFRIFARMTZ sokota Dar leo nimewauliza wanasema wanaitibu hilo tatizo naomba uwasiliane nao0654014365 Dr ObedNina ngombe wa maziwa anasumbuliwa sana na reccurent mastitis. anakamuliwa kama lita 15 a day! tatizo ni nini na tiba yake ni nini?
Nilimfanyia drycow therapy, lakini baada ya kuzaa tu, mastitis hiyo within a week!
Please advise!
asante sanaNimepita Duka la AFRIFARMTZ sokota Dar leo nimewauliza wanasema wanaitibu hilo tatizo naomba uwasiliane nao0654014365 Dr Obed
karibu sana ukikwama naomba tutarifiane ufugaji tunategemeana ndugu yangu.asante sana
Habari mkuu samahani kwa usumbufu nina ng’ombe wangu wa maziwa anashida chuchu moja imekuwa ngumu ndani kuna kama kinyama kigumu hivi anakuwa mkali ukishika swali langu vipi tatizo hili ni kama ulikuwa nalo wewe?Nina ngombe wa maziwa anasumbuliwa sana na reccurent mastitis. anakamuliwa kama lita 15 a day! tatizo ni nini na tiba yake ni nini?
Nilimfanyia drycow therapy, lakini baada ya kuzaa tu, mastitis hiyo within a week!
Please advise!
HILI DUKA LIPO SEHEMU GANI YA DAR, PLEASENimepita Duka la AFRIFARMTZ sokota Dar leo nimewauliza wanasema wanaitibu hilo tatizo naomba uwasiliane nao0654014365 Dr Obed
YES HATA LEO HII 20/10/2024 NGOMBE WANGU ANAKITUPE HICHO KWENYE TITI.Habari mkuu samahani kwa usumbufu nina ng’ombe wangu wa maziwa anashida chuchu moja imekuwa ngumu ndani kuna kama kinyama kigumu hivi anakuwa mkali ukishika swali langu vipi tatizo hili ni kama ulikuwa nalo wewe?
Asante ngoja nitafute hiyo maana hali sio NzuriYES HATA LEO HII 20/10/2024 NGOMBE WANGU ANAKITUPE HICHO KWENYE TITI.
NIMEMPIGA SINDANI YA PENSTREP NA KUINJECT PENSTREP HIYO HIYO KWENYE TITI HILO. SHE IS MAKING IMPROVEMENT...TRY THAT!
Lipo kwa sokota hapo, kama unatokea upande wa Buguruni ukipita taa tu hicho kituo cha sokota unashuka hapo upande huo huo wa kushoto unatembea mita kama 5 hivi utaona ukuta mwekundu na bango limeandikwa AFRIFARMTZ.HILI DUA LIPO SEHEMU GANI YA DAR, PLEASE
Hongera kwa kuwa na mifugo yenye utoaji mzuri wa maziwa. Mimi napata lita 4 - 5 kwa Ngombe kwa siku. Kama hautajali, Ngombe wako uliwachukuwa wapi ili nami nikatafute hapo na kuimarisha ujasiriamali wangu. Napatikana Dsmukiweza fuga upate maziwa, mbolea ..... na kama mfanyakazi upate sehemu ya kutumia muda unapokuwa free
Napata lita kama 15 to 20 a day kwa ngombe mmoja.... fuga wachache uwamudu. I have only three wa kisasa
Kwa lita hizo yupo vizuri sana ana mbegu NzuriHongera kwa kuwa na mifugo yenye utoaji mzuri wa maziwa. Mimi napata lita 4 - 5 kwa Ngombe kwa siku. Kama hautajali, Ngombe wako uliwachukuwa wapi ili nami nikatafute hapo na kuimarisha ujasiriamali wangu. Napatikana Dsm