Ngombe zaidi ya 6k na trekta 200 ya wakenya Loliondo yatakiwa kuondoshwa kabla hayajataifishwa

Ngombe zaidi ya 6k na trekta 200 ya wakenya Loliondo yatakiwa kuondoshwa kabla hayajataifishwa

REDEEMER.

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2015
Posts
8,925
Reaction score
14,890
Kuna taarifa kuna ng'ombe zaidi ya 6,000 na trekta zaidi ya 200 toka nchi jirani, yote kinyume cha sheria! Yatoke kabla hatujataifisha




Inadaiwa watu hawa ndio wanaochangia kwa kiasi kikubwa kwenye mgogoro wa Loliondo na kuharibu hifadhi ya taifa ya Serengeti.
 
Naona wakimbizi wanaanza kuingia taratibu. Naskia si kuna machafuko huko aisee.
 
Kuna wakimbizi wengi kutoka Kenya nchini Tanzania na tutawafurusha wote warudi kwao sababu waliona Tanzania ni shamba la bibi yao.
 
Kuna wakimbizi wengi kutoka Kenya nchini Tanzania na tutawafurusha wote warudi kwao sababu waliona Tanzania ni shamba la bibi yao.
Semeni tu mnavizia mali yao. Acheni longolongo za kujifanya malaika. Kawaida ya watu wavivu wenye wivu. Kenya kuna wakimbizi wengi wasomali, wasudi, warundi, wakongo, warwanda hadi Gado na Munishi mwenyewe lakini hatuonagi sifa kujipiga vifua eti tumewapa sujui hili sijui sisi tunasaidia huyu. Umbea tuliachia wanawake na watz.
 
Semeni tu mnavizia mali yao. Acheni longolongo za kujifanya malaika. Kawaida ya watu wavivu wenye wivu. Kenya kuna wakimbizi wengi wasomali, wasudi, warundi, wakongo, warwanda hadi Gado na Munishi mwenyewe lakini hatuonagi sifa kujipiga vifua eti tumewapa sujui hili sijui sisi tunasaidia huyu. Umbea tuliachia wanawake na watz.

weeee subiri uone mziki wake. watataifishiwa mali zao.
 
Inaonyesha Kenya Bunduki wanamiliki hovyo hovyo
Uliona hapo juu wakenya waliweka picha za wapokot wakiwa na AK47 kiholela na wakawa wanawasifia kuwa ni mashujaa, unategemea nini?, hizi silaha zinazomilikiwa na watu kiholela huenda zikatumika hivi karibu kwenye fujo za uchaguzi ujao.
 
Uliona hapo juu wakenya waliweka picha za wapokot wakiwa na AK47 kiholela na wakawa wanawasifia kuwa ni mashujaa, unategemea nini?, hizi silaha zinazomilikiwa na watu kiholela huenda zikatumika hivi karibu kwenye fujo za uchaguzi ujao.
Aisee! Hii nihatari na sio jambo lakuiga sisi
 
Aisee! Hii nihatari na sio jambo lakuiga sisi
Kenya ni nchi hatari sana, inajulikana hivyo duniani kote, tangu ipate Uhuru haijawahi kuwa na usalama wa kutosha, kwa kitaalamu tunasema "killings and insecurity are endemic in Kenya", kiasi kwamba wakenya wanachukulia mauaji ya watu hadi 50 Kwa mwezi ni jambo la kawaida kwao, Juzi Uhuru Kenyatta kwenye hotuba yake alisema, uchaguzi wa wa August 8 ulifanyika katika mazingira ya utulivu na maani, wakati watu zaidi ya 30 waliuliwa na polisi, sasa unajiuliza, ili Kenya waseme uchaguzi haukuwa wa amani ni mpaka watu wangapi wawe wamekufa?
 
Back
Top Bottom