Uchaguzi 2020 Ngome kuu za CCM (Kanda ya Kati na Kanda ya Ziwa) walizokuwa wakizitegemea zimetikiswa

Dodoma,
CCM (516,317); CHADEMA (157,623).
Singida,
CCM (290,899); CHADEMA (112,342).
Tabora,
CCM (413,492); CHADEMA (181,213).
Mwanza,
CCM (584,184); CHADEMA (311,532).
Kagera,
CCM (475,910); CHADEMA (287,538).
Geita,
CCM (377,051); CHADEMA (157,440).
Simiyu,
CCM (318,358); CHADEMA (163,319).
Mara,
CCM (335,476); CHADEMA (221,382).
Shinyanga,
CCM (326,936); CHADEMA (132,180).
 
Kampeni zenu zozote zile msipeleke Diamond,Kiba,harmonize,Zuchu etc muone aibu ya mwaka mtakayoipata.
 
Ila Kanda ya ziwa wajiandae kubomolewa nyumba zao maana wametia fora
 
Lowasa ana ushawishi Monduli tu
 
Kwa hiyo umeona zimeongezeka?
Bado hata hizo mlizopata mwaka 2015 mnaweza msizipate
 
Mtu anawekwa kati hapo ngoja utaona.
 
Analysis nzuri kabisa eveidence based
 
Ngome haivunji kwa kuwapata watu wakuja kwenye mikutano bali inavunjwa kwa kupata watu wa kukupigia kura!

Kanda ya Ziwa ni ngome ya CCM toka zamani hivyo kuivinja ni kazi kubwa sana ....
Kuwapata watu kwenye mkutano wako sio kigezo cha kushinda!
 
Kampeni zenu zozote zile msipeleke Diamond,Kiba,harmonize,Zuchu etc muone aibu ya mwaka mtakayoipata.
Kampeni za cdm zamani walikuwa wanapeleka chopa.Kwa sasa sana uhakika watu wanaenda kuangalia MTU kwenye vyuma mwilini.
 
Maccm yanaweweseka.


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…