Kama Mwanza walifanya fujo kabisaKwani hata Kanda ya ziwa mwaka 2015 walishinda kihalali?
Walifanya manouver ili ionekane anakubalika kanda anayotokea.
Kampeni zenu zozote zile msipeleke Diamond,Kiba,harmonize,Zuchu etc muone aibu ya mwaka mtakayoipata.Sio kweli Watu watatu ndio walikuwa mhimili wa hiyo kanda Lowasa, Slaa na Ndesamburo mtakiona cha mtema kuni tarehe 28 October
Dar es salaam wana Dar wameshawashia Taa za hazard na ving'ora kuwa chadema hamna chenu Dar
Uzinduzi wenu mliona ulivyodorora Dar hadi aibu
🤣 🤣 🤣 balaa na roboJPM alindwe asije kunywa sumu!Hakuyatarajia haya!
Hivi CCM ilichukua majimbo mangapi 2015 hapo Dar?Nadhani majibu wanayo.Dar itawashangaza tangu kuanza kwa uchaguzi wa vyama vingi haijawahi kuwa CCM.
Anga limemkataa, ndumba zimeexpire,Mungu kamuondolea kibali amepimwa ameonekana hatoshi.Mungu kaona akirudi Tena atawaumiza Sana watz.Apumzike kwa amani Raha ya milele imuangazie ee Bwana.Quinine, p
Pepo mchafu hana chake mwaka huu.
Ni unabii kumbe wanakufa waoKabla ya campaign mlikuwa mnasema Cdm imekufa !!. Leo unaipa baadhi ya mikoa ! Kulikoni ?!
Lowasa ana ushawishi Monduli tuKaskazini kwa sasa hawana Chao ilikuwa ngome ya Slaa,Lowasa na Ndesamburo ambao wote kwa sasa hawapo .Ndesamburo mwamba wa Kilimanjaro alifariki Lowasa na Slaa na makundi yao walisharudi CCM
Mbeya na Iringa unaongelea mbeya mjini na iringa mjini tu wilaya zingine hamna kitu
Kwa hiyo umeona zimeongezeka?Kwenye uchaguzi mkuu uliopita wa 2015 CCM ilipata kura 8,882,935 za urais, karibu nusu ya kura zote zilitoka kanda ya Ziwa na kanda ya Kati.
CCM ilipata kura 3,638,623 kutoka mikoa 9 tu ya Dodoma, Singida, Tabora, Mwanza, Geita, Mara, Simiyu, Kagera na Shinyanga, huku CHADEMA ikiambulia kura 1,724,569 kwenye kanda hizo kati ya kura 6,072,848 za urais walizopata 2015.
Pamoja na kuwa ngome kuu za CCM, lkn mwaka huu hadi sasa kupitia kampeni zake, CHADEMA imeonekana kufanya vizuri kwenye mikoa hiyo, huku ikiwa bado na uhakika wa kupata kura zaidi kwenye ngome zake za mikoa ya Kanda ya Kaskazini (Kilimanjaro, Arusha, na Manyara) na Mikoa ya nyanda ya juu Kusini (Mbeya, na Iringa).
Hadi sasa kimikakati bado CHADEMA inaongoza kwa kushambulia ngome za mpinzani wao wa karibu CCM kwa muda mrefu, nafikiri ‘strategist’ wao aliwashauri vizuri.
Nyanda zingine za Mashariki (DSM, Pwani, Morogoro na Tanga), Kanda ya Kusini (Lindi na Mtwara), Kanda ya Magharibi (Kigoma, Katavi) na Zanzibar ni kanda ambazo kura zake bado zimegawanyika kwa vyama vyote vikuu yaani CCM, CHADEMA na ACT.
Hii ni tathimini yangu kwa mikakati inayoonekana wazi ya awamu ya kwanza ya kampeni iliyofikisha mwezi mmoja tangu kuzinduliwa trh 26/8. Matarajio mabadiliko machache kutokea tunapokaribia siku ya uchaguzi.
Mtu anawekwa kati hapo ngoja utaona.Umeandika nilichokuwa nakiwaza wiki nzima hii. Nimekuwa nikitafakari route ya Lissu, nikajiuliza, tangu alivyotoka Mbeya kwa nini jamaa amejikita kuzunguka nchi kupitia mipakani, Mbeya, akapita kwa Pinda, akapanda hadi Kigoma, akaenda Kagera, kapita Mwanza, Mara na sasa anamalizia Tarime. Kwa ufupi kaizunguka nchi. Kama ni vitani, basi ameamua kumzunguka adui yake ambaye amejificha hapo Dodoma.
Wewe utapiga kura ngapi mkuu.Kwa hiyo umeona zimeongezeka?
Bado hata hizo mlizopata mwaka 2015 mnaweza msizipate
Analysis nzuri kabisa eveidence basedKwenye uchaguzi mkuu uliopita wa 2015 CCM ilipata kura 8,882,935 za urais, karibu nusu ya kura zote zilitoka kanda ya Ziwa na kanda ya Kati.
CCM ilipata kura 3,638,623 kutoka mikoa 9 tu ya Dodoma, Singida, Tabora, Mwanza, Geita, Mara, Simiyu, Kagera na Shinyanga, huku CHADEMA ikiambulia kura 1,724,569 kwenye kanda hizo kati ya kura 6,072,848 za urais walizopata 2015.
Pamoja na kuwa ngome kuu za CCM, lkn mwaka huu hadi sasa kupitia kampeni zake, CHADEMA imeonekana kufanya vizuri kwenye mikoa hiyo, huku ikiwa bado na uhakika wa kupata kura zaidi kwenye ngome zake za mikoa ya Kanda ya Kaskazini (Kilimanjaro, Arusha, na Manyara) na Mikoa ya nyanda ya juu Kusini (Mbeya, na Iringa).
Hadi sasa kimikakati bado CHADEMA inaongoza kwa kushambulia ngome za mpinzani wao wa karibu CCM kwa muda mrefu, nafikiri ‘strategist’ wao aliwashauri vizuri.
Nyanda zingine za Mashariki (DSM, Pwani, Morogoro na Tanga), Kanda ya Kusini (Lindi na Mtwara), Kanda ya Magharibi (Kigoma, Katavi) na Zanzibar ni kanda ambazo kura zake bado zimegawanyika kwa vyama vyote vikuu yaani CCM, CHADEMA na ACT.
Hii ni tathimini yangu kwa mikakati inayoonekana wazi ya awamu ya kwanza ya kampeni iliyofikisha mwezi mmoja tangu kuzinduliwa trh 26/8. Matarajio mabadiliko machache kutokea tunapokaribia siku ya uchaguzi.
Kampeni za cdm zamani walikuwa wanapeleka chopa.Kwa sasa sana uhakika watu wanaenda kuangalia MTU kwenye vyuma mwilini.Kampeni zenu zozote zile msipeleke Diamond,Kiba,harmonize,Zuchu etc muone aibu ya mwaka mtakayoipata.
Kwenye uchaguzi mkuu uliopita wa 2015 CCM ilipata kura 8,882,935 za urais, karibu nusu ya kura zote zilitoka kanda ya Ziwa na kanda ya Kati.
CCM ilipata kura 3,638,623 kutoka mikoa 9 tu ya Dodoma, Singida, Tabora, Mwanza, Geita, Mara, Simiyu, Kagera na Shinyanga, huku CHADEMA ikiambulia kura 1,724,569 kwenye kanda hizo kati ya kura 6,072,848 za urais walizopata 2015.
Pamoja na kuwa ngome kuu za CCM, lkn mwaka huu hadi sasa kupitia kampeni zake, CHADEMA imeonekana kufanya vizuri kwenye mikoa hiyo, huku ikiwa bado na uhakika wa kupata kura zaidi kwenye ngome zake za mikoa ya Kanda ya Kaskazini (Kilimanjaro, Arusha, na Manyara) na Mikoa ya nyanda ya juu Kusini (Mbeya, na Iringa).
Hadi sasa kimikakati bado CHADEMA inaongoza kwa kushambulia ngome za mpinzani wao wa karibu CCM kwa muda mrefu, nafikiri ‘strategist’ wao aliwashauri vizuri.
Nyanda zingine za Mashariki (DSM, Pwani, Morogoro na Tanga), Kanda ya Kusini (Lindi na Mtwara), Kanda ya Magharibi (Kigoma, Katavi) na Zanzibar ni kanda ambazo kura zake bado zimegawanyika kwa vyama vyote vikuu yaani CCM, CHADEMA na ACT.
Hii ni tathimini yangu kwa mikakati inayoonekana wazi ya awamu ya kwanza ya kampeni iliyofikisha mwezi mmoja tangu kuzinduliwa trh 26/8. Matarajio mabadiliko machache kutokea tunapokaribia siku ya uchaguzi.
Tena uko wazi. Ndio maana hadi nec inawasaidia kampeniKuna ukweli mkubwa kwenye hili bandiko.....
Mtakoma mwaka huu. Mmebaki kukusanya wanamKampeni za cdm zamani walikuwa wanapeleka chopa.Kwa sasa sana uhakika watu wanaenda kuangalia MTU kwenye vyuma mwilini.
Ziko vivid kabisa.Hizi habari hawapendi kuzisikia