Maccm yanaweweseka.
Si wangepiga tu kama wao ni wajanja.
Mwaka huu anga limewakataa.Ni ngumu kukubali lakini ndio ukweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maccm yanaweweseka.
Hii pia inaweza kuwa kweli. Ukabila ulichangia na vile vile hawakumjua binamungu ni naniFrankly speaking, Kanda ya Ziwa haijawahi kuwa ngome ya CCM ila mwaka 2015 kura zolipigwa kiukabila sana na pia watu walikuwa hawamjui vizuri 🐍🐍 Magu.
Hizo ni propaganda tu.Watu wengi tu wanaenda kwenye kila mkutano.Kuna gap kubwa la uelewa kwa watanzania.Lazima ufanye hesabu ndefu kidogo.Si kila anaekuja mkutanoni anakupigia kuraMt
Mtakoma mwaka huu. Mmebaki kukusanya wanam
funzi wa primary tu kwenye mikutano. Wananchi wamewakataa
Si wangepiga tu kama wao ni wajanja.
Mwaka huu anga limewakataa.Ni ngumu kukubali lakini ndio ukweli.
Frankly speaking, Kanda ya Ziwa haijawahi kuwa ngome ya CCM ila mwaka 2015 kura zolipigwa kiukabila sana na pia watu walikuwa hawamjui vizuri 🐍🐍 Magu.
Unadhani hao watu hawana kazi zao za kufanya kama wewe?? Kama watu sio hoja Jpm anawabeba kwenye malori wa nini?? Mbona analazisha hadi wanafunzi wavae nguo za nyumbani waende kwenye mikutano tena akijua kabia wanafunzi hao hawa a hata sifa ya kupiga kura?? Amekata tamaa.Hizo ni propaganda tu.Watu wengi tu wanaenda kwenye kila mkutano.Kuna gap kubwa la uelewa kwa watanzania.Lazima ufanye hesabu ndefu kidogo.Si kila anaekuja mkutanoni anakupigia kura
Mwaka huu ndio mbaya zaidi kwa ccm. Bao la mkono limefeli.Bila kusahau bao la mkono
EL aliwapiga asubuhi na mapema
Milele aminaAnga limemkataa, ndumba zimeexpire,Mungu kamuondolea kibali amepimwa ameonekana hatoshi.Mungu kaona akirudi Tena atawaumiza Sana watz.Apumzike kwa amani Raha ya milele imuangazie ee Bwana.
Wanafunzi ni propaganda ndugu.Kwa sisi wana statistics, tunatumia multiple regression analysis kujua ,significant na insignificant. Lakin nyie wa mitandaoni mnasikiliza kila uchafu mnamezaUnadhani hao watu hawana kazi zao za kufanya kama wewe?? Kama watu sio hoja Jpm anawabeba kwenye malori wa nini?? Mbona analazisha hadi wanafunzi wavae nguo za nyumbani waende kwenye mikutano tena akijua kabia wanafunzi hao hawa a hata sifa ya kupiga kura?? Amekata tamaa.
Propaganda kivipi wakati tunawaona na sisi wengibe ni waandamizi kwenye Elimu tumepata barua za maagizo. Acha uongo hatubahatishi.Wanafunzi ni propaganda ndugu.Kwa sisi wana statistics, tunatumia multiple regression analysis kujua ,significant na insignificant. Lakin nyie wa mitandaoni mnasikiliza kila uchafu mnameza
Hehehe anajaribu kujiweka karibu na wao. Hahaha wamegundua jamaa hafai.Ndio maana anajaribu kuongea tena kisukuma majukwaani akiamini itakuwa kama 2015.
Wasukuma wenyewe pamba yao imeozea ndani, wanamwangalia kama Juha tu.
Kura za kikabila ziliwasaidia sana CCM maana hata Shinyanga ilikuwa haikosi majimbo 3/4 ya upinzani lakini 2015 CCM walizoa yote.
Nani amekudanganya? Unatujua watu wa kaskazini kweli wewe? Tunakula na kipofu hatumgusi mkono. Kamwulize Mramba ilikuaje tena akiwa kabisa waziri wa fedha. Kamwulize Davis Mosha kilimpata nini. Sasa hivi watu wanajilia tuu vihela vya kampeni. Kwenye kura wanajuaga wanamchagua nani wenyewe. Huo mkoa wa Kilimanjaro umekua ni mpinzani toka historia ya Mkoloni ndo sembuse leo?Sio kweli Watu watatu ndio walikuwa mhimili wa hiyo kanda Lowasa, Slaa na Ndesamburo mtakiona cha mtema kuni tarehe 28 October
Dar es salaam wana Dar wameshawashia Taa za hazard na ving'ora kuwa chadema hamna chenu Dar
Uzinduzi wenu mliona ulivyodorora Dar hadi aibu
Niambie kaskazini hii ya chadema ya Lisu ukiacha Lema na Mbowe kuna mbunge yupi atapita mwaka huu?Kaskazini bado itabaki kuwa ngome ya Chadema hata baada ya Slaa, Lowassa mwenyewe aliikuta na ameiacha kama ilivyo.
endelea kujiongopeaHadi sasa kimikakati bado CHADEMA inaongoza kwa kushambulia ngome za mpinzani wao wa karibu CCM kwa muda mrefu, nafikiri ‘strategist’ wao aliwashauri vizuri.
Wanaelewa nchi sasa hawa?Kazunguka nchi au kazunguka mijini?
Kwa akili yako chadema hii ya Lisu ni sawa na ile ya Slaa?Kabla ya campaign mlikuwa mnasema Cdm imekufa !!. Leo unaipa baadhi ya mikoa ! Kulikoni ?!
Hivi Dar kuna jimbo gani litaenda upinzani ukiacha Kawe?Hivi CCM ilichukua majimbo mangapi 2015 hapo dar?Nadhani majibu wanayo.
Kwahiyo Lissu hashindi tena?Ila Kanda ya ziwa wajiandae kubomolewa nyumba zao maana wametia fora