Riskytaker
JF-Expert Member
- Mar 14, 2024
- 568
- 2,522
Nchi nzima ina wajinga ndio maana hakuna mbunge hata mmoja wa upinzani.na majitu majinga mengi hupatikana huko.
JESUS IS LORD&SAVIOR
athari za Jiwe hizo: Ila ashukuriwe Mungu asiyedhihakiwa!. Jiwe alivuna alichokipanda.Nchi nzima ina wajinga ndio maana hakuna mbunge hata mmoja wa upinzani.
Mikoa ya wapumbavuhii mikoa tanga ,pwani na dodoma ndio ngome ya ccm ccm inawalipa fadhila kwa kuwapa wabunge wao uwaziri.
2025 samia.
2030 kasimu majaliwa.
2040 January makamba.
2050 ridhiwan kikwete.
2060 upinzani unashika usukani
Siku hizi hata watu wa pwani mna brag baada ya kuwapa nafasi kwa upendeleo, shule ni vilaza, kwenye kazi hivyo hivyo, kwenye siasa mnabebwahii mikoa tanga ,pwani na dodoma ndio ngome ya ccm ccm inawalipa fadhila kwa kuwapa wabunge wao uwaziri.
2025 samia.
2030 kasimu majaliwa.
2040 January makamba.
2050 ridhiwan kikwete.
2060 upinzani unashika usukani