Ngono kwa kupitia mdomo inasababisha Saratani

Kigoma awe kigoma weeee leka DUTIGITE,wilaya maarufu zaidi huko KG.

UVINZAAAAAAAA
 
watanzania wape picha stori watatunga wenyewe, mara madhara ya kuzama chumvini mara nini? yote kupiga ramli.

Kwa umri wa dogo (angalia ukomavu wa ngozi na kidevu bado cheupe) yawezekana hata uvinza hakujui

ingekuwa ni rahisi ivo bas wengi tungekuwa na matatizo, huyo dogo kala kitu kikamletea mzio ama homa imemjaza vipele tu.

hakuna cha uvinza wala kasulu
 
Tusipende kuhukumu kwa mambo ambayo hatuna uhakika nayo, aende Hospital.
 
Hapo umenena
 
Dalili ya ukimwi hiyo, sorry to say that
 
Itakuwa alerg, kuna baadhi ya kemikali zilizoko kwenye papai bichi wengine zinawasababishia hiyo hali...inabidi awahi kuwaona wataalamu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…