Aghalabu si rahisi sana kupata bikra kwa wote wawili (mvulana na msichana). Tujaribu kuwa wakweli! ni nani hadi sasa kwa umri wa miaka 18 ambaye bado hajafanya ngono?
Achilia mbali siku hizi watoto wadogo kabisa wanajua ngono ni nini na inafanywaje.
Kimsingi ingependeza sana kama wote tungevumilia hadi kuoa/kuolewa, lakini pia si rahisi kijana wa sasa anunue mbuzi kwenye gunia. Hivi kweli wewe utakubali uolewe (kwa akina dada) na mtu ambaye hujui mziki wake ukoje? Kama jogoo hapandi mtungi si kesho yake tu mnaachana? Hali kadhalika kwa waoaji kweli utaletewa tu mamaa ndo huyu mara unaingia ndani kuna katundu ka mkojo tu kale ka shughuli hakapo!
Wengi walikuwa wanafanya hivyo zamani lakini si sasa, na kama wapo basi kuna sababu nzito sana zinawafanya wasifanye hivyo.
Mojawapo ya uhamasishaji wa kuolewa ni ngono kwa upendaye. Na manjonjo kama alivyowahi kusema kwenye thread moja MJ1,,,Wanawake wanaolia,,,,,,,,,,,,,,,,.